Elections 2010 Wafanyakazi: Tutampigia kura Jakaya Kikwete

Huyu Shigongo ni wa kumpuuza. Anajipendekeza kwa JK baada ya kushindwa katika kura za maoni akiwa na lengo la kutaka ateuliwe kwenye nafasi 10 za uteuzi za raisi. Lakini amebugi step kwa sababu sehemu kubwa ya wafanyakazi wamechoshwa na usanii wa Kik-wete na Kapu-ya wake and when it's all said and done, ni Dr Slaa ndiye ataibuka mshindi. Kwa hiyo Bw. Shigongo kama utapata huu ujumbe, nakushauri ungeanza kujigonga kwa Dr. Slaa pengine utapata moja ya hivyo viti 10 vya kuteuliwa.
 
Sasa nimeamini CCM inaharibu akili za watu.

Shigongo nilifikiri anauwezo wakufikiri kumbe sivyo.

Kaifanya Tz iwe ya kiudaku daku.

Nani wa kukiokoa CCM ?

Shigongo = Hiza Tambwe

Hiza T= Makamba

Wote ni wana CCM

Hivyo CCM HUHARIBU AKILI ZA WATU
 
😛layball:HAO SI WAFANYAKAZZI BALI NI MAMLUKI WALIOPEWA PESA ILI KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA, WAFANYAKAZI HAWAWEZI KUWA MAJUHA KIASI HICHO,TENA HAKO KABINTI KWENYE PICHA NAHISI KAMEHONGA RUSHWA YA NGO..... NDO KAKAPEWA KAZI LAZIMA KAMSIFIE ALIYEKAPA KAZI,PIA WAANDISHI WA HABARI WENGINE NI FORM FOUR,WANASUBIRI WAENDELEZWE LAZIMA WAJITOKEZE KUSIFIA,
 
Shigongo ameamua kutuletea picha gani hizi zinafaa kwenye magazeti yake si humu.
 
Bill karibu ningeanguka kiharusi nikifikiri ni wewe umeandika. Kumbe umeidaka kwa mnafiki mlokole Shigingo?? Wataleta kila kitu, wasubiri wapinzani waanze kampeni zao. Shigongo umelipwa ngapi na magazeti yako ya udaku? Njaa tu uzalendo huna!!
 
Mgaya sasa amekuwa muelewa.aendelee hivyohivyo
 
BABA yangu ni mkulima na mama yangu ni mfanyakazi wote wameseme watampa kura Kikwete.Mimi na nyumba yangu tutampa kura kikwete.Mgaya na wana TUKTA nao wamesema kura zao ni kwa Kikwete. CCM nambari one
 
BABA yangu ni mkulima na mama yangu ni mfanyakazi wote wameseme watampa kura Kikwete.Mimi na nyumba yangu tutampa kura kikwete.Mgaya na wana TUKTA nao wamesema kura zao ni kwa Kikwete. CCM nambari one

Bange hizi!
 
BABA yangu ni mkulima na mama yangu ni mfanyakazi wote wameseme watampa kura Kikwete.Mimi na nyumba yangu tutampa kura kikwete.Mgaya na wana TUKTA nao wamesema kura zao ni kwa Kikwete. CCM nambari one
Sishangai watakaompa kura kikwete maana wengi ni wale waliokosa elimu hivyo wakazibwa milango yao yote ya FAHAMU
 
Bill, unamtumikia nani na umelipwa bei gani?
How come majibu yote yafanane hivyo, i smell a rotten kitten here!.
Watu wanajitolea tu,pole wewe unaelipwa kazi unayo siku usipofanyakazi mwajili atakunyima malipo.sijui kama anakulipa KCC cha TUKTA au la.
 
Bill karibu ningeanguka kiharusi nikifikiri ni wewe umeandika. Kumbe umeidaka kwa mnafiki mlokole Shigingo?? Wataleta kila kitu, wasubiri wapinzani waanze kampeni zao. Shigongo umelipwa ngapi na magazeti yako ya udaku? Njaa tu uzalendo huna!!
Angalia usivunje mkono.Ya nini kupata kiharusi ungali mdogo.Kubali yaishe
 
Hao wengine wanaonekana kuwa machagu kule Ohio. "2010 HATUDANGANYIKI"
 
Wewe ndiye uliyefumba macho ndiyo maana huoni kama wenzako wamefumba au wamefumbua.Fumbua basi au tumia white stick if any.
 
Mgaya juuu.Kura za wafanyakazi kwaaaaa Kikwete.TUCTA safiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…