Elections 2010 Wafanyakazi: Tutampigia kura Jakaya Kikwete



Shigongo anatuletea machangudoa eti wafanyakazi wamesema, huyu changu kabisa namfahamu hushinda pale kinondoni makaburini, kwa wakazi wa kinondoni tembelea kuanzia saa 2 usiku utamkuta buku tu. HATUDANGANYIKI.

Mkuu Quinine, labda hawa ni wafanyakazi wa zile ajira zisizo rasmi kama Uchangudoa.
 
SHIGONGO, ni tapeli mjanja mjanja. Ameweza kuendesha biashara yake kwa kutumia ujanja ujanja...Hana elimu yoyote ila Tanzania kama unajuana na watu basi unaweza kufungua Hospitali hata kama huna utaalamu wowote...
 
Mkuu mimi nimewasilisha tu kutoka Buchosa - Global Publishers. Subirini mtaiona hiyo kwenye Gazeti la udaku la IJUMAA

BILL are you a hired gun!

Je, ukiagizwa kumuua mamako utafanya hivyo!

Hainiingii akilini!

Huyu mpuuzi anaye jidai kuwahoji wafanyakazi nadhani anaupungufu wa ueledi katika tasnia ya utafiti,

Huwezi kuwahoji watu watano kumi ukasema haya ni maoni ya watu laki tatu! huo ni ujinga!

pili, Haoni majibu yao yanaendana hivyo uwaulize maswali zaidi ili kuibua hoja zingine kutetea ile dhana unayoitaka?

Kutokana na majibu kuwa sawa, hawa wanajidai wafanyakazi kama kweli wapo-kwani naamini huu ni moja kati ya zile tungo nyingi za kipumbavu zenye majina ya lugha tofauti na ndani lugha nyingine! hawa wanaoitwa wafanyakazi wanauelewa mdogo sana na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo,

ila kwakuwa hata aliewahoji nae kaonesha kutoligundua hilo, basi ni dhahiri nae ni mwenye uelewa mdogo sana.

Wafanyakazi wapo wengi tena kila mmoja anachama chake cha kazi! sasa hawa ni wana TUKTA? je namba zao za uanachama huo ni zipi? haitoshi tu kuweka jina na picha, kwanza picha ya nini, sisi sio wadaku kwamba tunaamini kwa kuona picha! huu ni upuuzi na ni uzalilishaji wa wanaJF!

Kwa upande mwingine, nikiachana na huyu bwana!

Wafanyakazi huu ni muda mko vitani, mmeshanyanyua jambia kwa kumtangazia Jey Key vita, haya anayoyasema ni danganya toto na tena kinyume cha sheria, ole wenu akipata urais tena inamaana amewashinda na si mnamjua huyu bwana kwa malipizi!


Shauri yenu,

Vita hii ni lazima mshinde msiridhike na matamshi ya kampeni!

Niwaulize, lile daraja la kigamboni aliloahidi 2005 mmeshaliona!

Je mabasi yaendayo kasi?
 
Nimekubali kwamba njaa haina baunsa, mpaka Shigongo ana njaa?
 
Nasema wafanyakazi wapo kimya sikilizeni matokeo yake, kimya kingi kinamshindo mkuu
 

Ingekuwa vyema kama mtayarishaji wa makala hii angeonyesha pia kisomo cha hawa waliohojiwa, nahisi hawana upeo mkubwa wa kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…