Kama hawalipwi, wao wanatoa wapi hela za kulipa sub contractors and employees? Ukweli haufunikwi blangeti! Una tabia ya kutafuta njia yoyote ile ili utoke nje.Kwani wanalipwa mshahara na Serikali ya Tanzania? Kampuni ni ya waturuki. Ungewauliza wao sio kuja kutujazia server humu
Watapewa wawekezaji wauendeshe.White elephant hili li mradi
Sio white elephant. Hatuko serious na kitu chochote. Kama bandari inageuka white elephant, what else has remained?White elephant hili li mradi
mifukoni kwenye "mzunguko"Sasa hizo trillioni 30 alizokopa mama katika kipindi chake zimeishia wapi??
Hee!Wametumia pesa vibaya kwa minyanduo Hasa hapa Dodoma,wakome!Kidudu mtu kilichokuwa kinautesa mradi wa bawawa la umeme sasa kimehamia kwenye mradi wa SGR baada ya wafanyakazi kutolipwa kwa wakati hivyo kupelekea migomo ya mara kwa mara.
Construction workers from Turkey on strike in Tanzania - english Construction workers from Turkey on strike in Tanzania
Na kweli walijua kuchafua wadada sanaHee!Wametumia pesa vibaya kwa minyanduo Hasa hapa Dodoma,wakome!
mzunguko wenyeweMzunguko upi
Ila mlimuta dikteta kwa nguvu zenu zoteš¤£Kipindi cha Magu haya hayakuwepo. 2
Labda mqigulu ajatoa Hela kwa Kampuni badoWanasema shida ni nini?
Upo nilidhani umepotea baada ya buku Saba kupoteaIla mlimuta dikteta kwa nguvu zenu zoteš¤£