A
Anonymous
Guest
Baada ya Maktech kukosa tenda ya kituo cha usimamizi wa mtandao (NOC) Cha kampuni ya Vodacom, imetokea sintofahamu baada ya uongozi wa Maktech na Nokia kuwalazimisha wafanyakazi kuandika barua Ya kuomba kuacha kazi ambayo ni kinyume na utaratibu na itapelekea waajiriwa kukosa stahiki zao.
Kituo hicho cha usimamizi wa mtandao kinasimamiwa na NOKIA ambae ndio mkandarasi mkuu na Maktech ambaye ni mkandarasi msaidizi.
Kampuni mpya iliyo shinda Tenda ya uendeshaji itaanza kazi ramsi 1.May.2024 Na moja ya vigezo vilivyo wekwa na NOKIA ni lazima uandike barua ya kuomba kuacha kazi kwa hiari ndio upate ajira kwenye hio kampuni mpya.
Lakini pia mpaka sasa hatujapewa Notice yoyote juu ya ukomo wa Maktech katika uendeshaji
Kwa Hali hii bila Serikali kuingilia Kati tutakosa haki zetu za msingi lakini pia tuna mashaka na Madeni yetu ya muda mrefu ambayo tunaidai kampuni ya Maktech
Tunaomba Serikali na Uongozi wa Vodacom uangalie hili Jambo,
Kituo hicho cha usimamizi wa mtandao kinasimamiwa na NOKIA ambae ndio mkandarasi mkuu na Maktech ambaye ni mkandarasi msaidizi.
Kampuni mpya iliyo shinda Tenda ya uendeshaji itaanza kazi ramsi 1.May.2024 Na moja ya vigezo vilivyo wekwa na NOKIA ni lazima uandike barua ya kuomba kuacha kazi kwa hiari ndio upate ajira kwenye hio kampuni mpya.
Lakini pia mpaka sasa hatujapewa Notice yoyote juu ya ukomo wa Maktech katika uendeshaji
Kwa Hali hii bila Serikali kuingilia Kati tutakosa haki zetu za msingi lakini pia tuna mashaka na Madeni yetu ya muda mrefu ambayo tunaidai kampuni ya Maktech
Tunaomba Serikali na Uongozi wa Vodacom uangalie hili Jambo,