Wafanyakazi wa Kiume wa kampuni ya Chloride Exide wavalia kama Wanawake kuadhimisha masuala ya Afya ya Wanawake

Hiyo nayo ni habari kwa great thinker
 
Kama wanaunga mkono wanawake kwa upendo huo basi leo usiku wakatumiwe kama wanavyotumia wanao waunga mkono ifikapo usiku pale kitandani
 
Kwa nini wasibuni wazo jingine kuliko hilo?
 
Biblia nzima hakuna andiko kuhusu mavazi, wanwake na wanaume wavae vipi
kumbukumbu la torati.22:5 mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume, wala mwanaume asivae mavazi ya mwanamke; kwamaana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
 
Biblia nzima hakuna andiko kuhusu mavazi, wanwake na wanaume wavae vipi
hivi unajua ushoga unaanzia sehemu za pwani??.. mikoa ya dar,tanga,Mombasa,lamu ndo kuna mashoga balaa,ni vigumu kumkuta shoga katika mikoa ya mbeya,shinyanga,au kigoma!!asilimia kubwa mashoga ni watoto wa kiislamu,
kwa hiyo mkuu usilete udini kwenye uchoko!!
 
wala hakuna dini inayoruhusu Hayo

Biblia nzima hakuna andiko kuhusu mavazi, wanwake na wanaume wavae vipi
kumbukumbu la torati.22:5 mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume, wala mwanaume asivae mavazi ya mwanamke; kwamaana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.

Vazi la mwaname ni lipi na vazi la mwanamke ni lipi, na hizo nguo zikivaliwa zifikie wapi kwa wote, Tiririka kwa maandiko zaidi,
Halafu nimekwambia ulete from Biblia sio taurati, taurati ni kitabu kisicho na shaka ndani yake kwa zama zile.
 

Umekosa hoja sasa unaleta ushoga zaidi.
Sasa nikuambie ushoga asili yake umeanzia ulaya na marekani ambapo wakiristo ndiko kuliko na makao makuu yenu kule
 
Kidogo tu niseme hyo wa pembeni yuko vizur kumbe
 
mtoto yake maziwa nyama tuachie sisi kumbukumbu la torati ni kitabu cha biblia mengine nenda sunday school kajifunze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…