Wafanyakazi wa kiwanda cha Nondo Sayona walipukiwa na uji wa moto

Waelkeze tena kwani Waziri wa Kazi na Waziri wa Mazingira wapo au hawapo?
 
Hili lilitokea Mwaka Juzi/Jana Mwanza kiwanda cha nondo Nyakato steel Bomu lilipuka kwenye hayo mauji ya moto, kuna nyumba zilipata nyufa mtaani, ilikua pata shika
Alafu muhindi anakupa 5,000/- per day unachezea uji wa Chuma siku nzima ujira wako 5,000/- umasikini mbaya sana
 
Samahani Mkuu naweza pata kazi kwenye hili kiwanda kweli? Nashida nakazi sana hata kama ni shifti ya usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…