ahhaaa bro mbona hunirithishi elimu hii adhimu kabisaa 🙌🙌Zina nguo zake rasmi na zina namna yake ya kuonekana si kama hizi boxer zetu chafu kwenye kata K[emoji23]
Vichwa vinafikiria jinsi ya kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla pamoja na kuepukana na Omicron we akili ipo kwenye pombe na bar waitress?Ni kwa masikitiko kuwa wafanyakazi wa Baa ya New Sideway iliyoko Bunju A Kinondoni DSM hasa wanaohudumia vinywaji wamekuwa na tabia mbaya sana ya ubaguzi katika kuwahudumia wateja.
Kama wewe hutoi offer au huna urafiki na wahudumu jua imekula kwako. Unaweza kufika unakaa unasubiri mhudumu akusikilize haji na unawaona wapo tu karibu wamekaa makundi makundi wakipiga soga ila cha kushangaza akija mshikaji wao wataamka fasta kumkimbilia na kwenda kumsikiliza. Inakubidi usubiri au uite kwa kulazimisha ndo atakuja kukusikiliza na akishakuhudumia anapotea jumla kwenda kukaa na washkaji wao.
Ukweli ni kuwa wahudumu wa hii baa ni wapuuzi wakubwa hawajielewi na wataua hii baa muda si mrefu, watu wengi hawaridhishwi na tabia hizi wanaenda tu kwa vile hakuna namna ila endapo patatokea Bar mbadala basi wajiandae kufa kifo cha mende.
Nimehama rasmi hii baa nakunywa zangu maeneo ya Boko, au Tegeta au Mbezi.
Najua watajitetea ni wivu au vita za kibiashara ila huo ndo ukweli. Meneja naye hajielewi kabisa kwanza anawaogopa wahudumu.
Ni hayo tu
We endelea kuwaza kuinua uchumi mwenzako anawaza kuutumia uchumi wake,umechafukwa?Vichwa vinafikiria jinsi ya kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla pamoja na kuepukana na Omicron we akili ipo kwenye pombe na bar waitress?
Posto iko bunju ganihahaaaa kweli bia tamu.....hamia River Wood Bunju B .. ama vuka daraja la bagamoyoo kuna viwanja vya kujinafasi kama Kimele Resort au Ndoto Pole Pole (hapa lazima ufanye booking)
.. Meneja naye hajielewi kabisa kwanza anawaogopa wahudumu.....meneja amelewa huduma ile ya baadae ya wahudumuuu
mbona vijiwe viko vingi sanaa we unakariri sehemu moja tuuuu .... ka una kifua vuka nenda apo jirani pana Posto Bella Garden yenye had swiming pool .... ama kula akapulco mbweni ... ama njoo huku kwetu Gobaaa
Acha uleviNi kwa masikitiko kuwa wafanyakazi wa Baa ya New Sideway iliyoko Bunju A Kinondoni DSM hasa wanaohudumia vinywaji wamekuwa na tabia mbaya sana ya ubaguzi katika kuwahudumia wateja.
Kama wewe hutoi offer au huna urafiki na wahudumu jua imekula kwako. Unaweza kufika unakaa unasubiri mhudumu akusikilize haji na unawaona wapo tu karibu wamekaa makundi makundi wakipiga soga ila cha kushangaza akija mshikaji wao wataamka fasta kumkimbilia na kwenda kumsikiliza. Inakubidi usubiri au uite kwa kulazimisha ndo atakuja kukusikiliza na akishakuhudumia anapotea jumla kwenda kukaa na washkaji wao.
Ukweli ni kuwa wahudumu wa hii baa ni wapuuzi wakubwa hawajielewi na wataua hii baa muda si mrefu, watu wengi hawaridhishwi na tabia hizi wanaenda tu kwa vile hakuna namna ila endapo patatokea Bar mbadala basi wajiandae kufa kifo cha mende.
Nimehama rasmi hii baa nakunywa zangu maeneo ya Boko, au Tegeta au Mbezi.
Najua watajitetea ni wivu au vita za kibiashara ila huo ndo ukweli. Meneja naye hajielewi kabisa kwanza anawaogopa wahudumu.
Ni hayo tu
Wahudumu wengi wajinga hasa wadada huchangamka meza ikiwa na waume wakija wanawake hununa na ukiondoka kidogo wanajichekesha na kuja, in short tanzania kwa customer care ni sifuri
Hiyo Hali ya kupokelewa Kama mfalme inabidi uitengeneze.Bia tamu na mteja ni mfalme.. Kwanini huko nako wakuchanganye ubongo? Hama fasta.. Nenda mahali ambako ukifika tu getini unapokelewa na mnyange mwenye shanga zake kiunoni na tabasamu la kumtoa nyoka pangoni
Hili ni tatzo kubwa sana la wahudumu.Ni kwa masikitiko kuwa wafanyakazi wa Baa ya New Sideway iliyoko Bunju A Kinondoni DSM hasa wanaohudumia vinywaji wamekuwa na tabia mbaya sana ya ubaguzi katika kuwahudumia wateja.
Kama wewe hutoi offer au huna urafiki na wahudumu jua imekula kwako. Unaweza kufika unakaa unasubiri mhudumu akusikilize haji na unawaona wapo tu karibu wamekaa makundi makundi wakipiga soga ila cha kushangaza akija mshikaji wao wataamka fasta kumkimbilia na kwenda kumsikiliza. Inakubidi usubiri au uite kwa kulazimisha ndo atakuja kukusikiliza na akishakuhudumia anapotea jumla kwenda kukaa na washkaji wao.
Ukweli ni kuwa wahudumu wa hii baa ni wapuuzi wakubwa hawajielewi na wataua hii baa muda si mrefu, watu wengi hawaridhishwi na tabia hizi wanaenda tu kwa vile hakuna namna ila endapo patatokea Bar mbadala basi wajiandae kufa kifo cha mende.
Nimehama rasmi hii baa nakunywa zangu maeneo ya Boko, au Tegeta au Mbezi.
Najua watajitetea ni wivu au vita za kibiashara ila huo ndo ukweli. Meneja naye hajielewi kabisa kwanza anawaogopa wahudumu.
Ni hayo tu
Nadhani kabla nchi haijapiga hatua tuwekeze katika kujali wateja, wateja ni muhimu kuliko biashara zetu maana bila wao twazifungaWahudumu wengi wajinga hasa wadada huchangamka meza ikiwa na waume wakija wanawake hununa na ukiondoka kidogo wanajichekesha na kuja, in short tanzania kwa customer care ni sifuri
Watanzania wengi exposure ndogo sana wallah Kuna sehemu ukienda kwa huduma zao unakuwa mteja permanent Sasa shida watu wamepata tu hela na kuanzisha biashara na kusahau kuhusu huduma kwa watejaNadhani kabla nchi haijapiga hatua tuwekeze katika kujali wateja, wateja ni muhimu kuliko biashara zetu maana bila wao twazifunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Meneja au mwenye baa kala wahudumu ndiyo maana hawawezi kuwaongoza......halafu uwe unawanunulia hata mbili tatu then unakuwa mfalme ghaflaKwani hakuna meneja wa bar hapo? Tatizo wa Swahili hatujui kutoa huduma kwa Wateja na kuwasikiliza wa teja tatizo lina anzia kwa uongoz kuto wajari wafanyakaz na kuangalia mauzo tu, na kuto fatilia utendaji wa staff
Hahaha[emoji23] huonekani siku hiziahhaaa bro mbona hunirithishi elimu hii adhimu kabisaa [emoji119][emoji119]
Ni kwa masikitiko kuwa wafanyakazi wa Baa ya New Sideway iliyoko Bunju A Kinondoni DSM hasa wanaohudumia vinywaji wamekuwa na tabia mbaya sana ya ubaguzi katika kuwahudumia wateja.
Kama wewe hutoi offer au huna urafiki na wahudumu jua imekula kwako. Unaweza kufika unakaa unasubiri mhudumu akusikilize haji na unawaona wapo tu karibu wamekaa makundi makundi wakipiga soga ila cha kushangaza akija mshikaji wao wataamka fasta kumkimbilia na kwenda kumsikiliza. Inakubidi usubiri au uite kwa kulazimisha ndo atakuja kukusikiliza na akishakuhudumia anapotea jumla kwenda kukaa na washkaji wao.
Ukweli ni kuwa wahudumu wa hii baa ni wapuuzi wakubwa hawajielewi na wataua hii baa muda si mrefu, watu wengi hawaridhishwi na tabia hizi wanaenda tu kwa vile hakuna namna ila endapo patatokea Bar mbadala basi wajiandae kufa kifo cha mende.
Nimehama rasmi hii baa nakunywa zangu maeneo ya Boko, au Tegeta au Mbezi.
Najua watajitetea ni wivu au vita za kibiashara ila huo ndo ukweli. Meneja naye hajielewi kabisa kwanza anawaogopa wahudumu.
Ni hayo tu
wewe tu ndio hujataka kuniona 😊Hahaha[emoji23] huonekani siku hizi