Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Sijajua wanajikuta wao ni kina nani..
Mtu unafuatilia bima zaidi ya miezi mitatu na majibu yao ni simple tu..
Tutafuatilia na ukifika ofisini wanakupa namba ya ofisi ambayo ni 0734163431 ili ufuatilie ..
Lakini hiyo namba Haipokelewi milele na milele..
Waziri wa afya please hebu fuatilia hawa wafanyakazi wa bima Ya afya ofisi za mkoa Tanga
Mtu unafuatilia bima zaidi ya miezi mitatu na majibu yao ni simple tu..
Tutafuatilia na ukifika ofisini wanakupa namba ya ofisi ambayo ni 0734163431 ili ufuatilie ..
Lakini hiyo namba Haipokelewi milele na milele..
Waziri wa afya please hebu fuatilia hawa wafanyakazi wa bima Ya afya ofisi za mkoa Tanga