Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Si tanga ni nchi nzima. Kuanzia NIDA, Uhamiaji, NHIF na karibu ofisi zote za serikali. Mtu anaamka asubuhi anakwenda kazini basi anashinda amekaa tu akishahudumia watu 3. Yani mtu anakuhudumia kama vile anakupa msaada.Sijajua wanajikuta wao ni kina nani..
Mtu unafuatilia bima zaidi ya miezi mitatu na majibu yao ni simple tu..
Tutafuatilia na ukifika ofisini wanakupa namba ya ofisi ambayo ni 0734163431 ili ufuatilie ..
Lakini hiyo namba Haipokelewi milele na milele..
Waziri wa afya please hebu fuatilia hawa wafanyakazi wa bima Ya afya ofisi za mkoa Tanga
Nilipeleka maombi hapo November 2023, feedback nikaja kupewa mwezi June mwaka huu..!
Wengi wahaya hapo TangaSijajua wanajikuta wao ni kina nani..
Mtu unafuatilia bima zaidi ya miezi mitatu na majibu yao ni simple tu..
Tutafuatilia na ukifika ofisini wanakupa namba ya ofisi ambayo ni 0734163431 ili ufuatilie ..
Lakini hiyo namba Haipokelewi milele na milele..
Waziri wa afya please hebu fuatilia hawa wafanyakazi wa bima Ya afya ofisi za mkoa Tanga