MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kuna hasara kubwa sana kwa Watanzania kutokana na Wafanyakazi kutopandishwa mishahara, maana hawatofanyakazi kwa ufanisi na wataanza kutafuta vipato vya ziada ili kujikimu.
Taarifa: Godbless_lema
Na usichokijua tu ni kwamba Wafanyakazi wa Kitanzania ( hasa wa Public Sector ) walishanusa Siku nyingi hatihati na Mshahara Kutoongezwa na ndiyo maana sasa Upigaji umerejea kwa Kasi kuliko ulivyotegemea.
Taarifa: Godbless_lema
Na usichokijua tu ni kwamba Wafanyakazi wa Kitanzania ( hasa wa Public Sector ) walishanusa Siku nyingi hatihati na Mshahara Kutoongezwa na ndiyo maana sasa Upigaji umerejea kwa Kasi kuliko ulivyotegemea.