Watumishi wa serekali majority yao ni wezi, wavivu. NI watu waliodumaa ambao akili zao zinawaza kupata pesa kiwepesi tu.
Unawakuta kila siku wao wanalialia kupandishwa mishahara lakini bidhaa madukani zikipanda kidogo tu unawakuta wanatoa povu kwa kuwalalamikia wafanya biashara kama vile ni watu makatili, Pumabav kabisa hawa watu. Ikiwa wao wapo desperate kupandisha vipatovyao kwanini na wenzao wakipambana katika kujaribu kupandisha vipato wao wanalalamika. NI watu maselfish wa jabu sana.