Kawaida wafanyakazi huwa hatuhesabu mshahara as a basic,,,, tunahesabu ile take it to home baada ya hayo makato yao huo ndio mshaharaMimi kila mwezi wanakula laki mbili na 30! Ukizidisha mara 12, ndipo utakapogundua wafanyakazi wa nchi hii cha moto tunakiona.
Kawaida wafanyakazi huwa hatuhesabu mshahara as a basic,,,, tunahesabu ile take it to home baada ya hayo makato yao huo ndio mshaharaMimi kila mwezi wanakula laki mbili na 30! Ukizidisha mara 12, ndipo utakapogundua wafanyakazi wa nchi hii cha moto tunakiona.
Pitia vzuri hapa kabla ya kufikia conclusion
Unajua mauzo ya milion 5 kwa mwaka ninfaida ya shingi ngapi? Halafu fanya malinganisho na huyo mfanyakaz unayesema analipa kodi kubwa
Pili, kodi ya mfanyabiashara ndo inalipa salaryView attachment 1129373
Pitia vzuri hapa kabla ya kufikia conclusion
Unajua mauzo ya milion 5 kwa mwaka ninfaida ya shingi ngapi? Halafu fanya malinganisho na huyo mfanyakaz unayesema analipa kodi kubwa
Pili, kodi ya mfanyabiashara ndo inalipa salaryView attachment 1129373
wafanyabishara ni wengi kuliko wafanyakazi hilo la kulipa salary wala sio issue.Pitia vzuri hapa kabla ya kufikia conclusion
Unajua mauzo ya milion 5 kwa mwaka ninfaida ya shingi ngapi? Halafu fanya malinganisho na huyo mfanyakaz unayesema analipa kodi kubwa
Pili, kodi ya mfanyabiashara ndo inalipa salaryView attachment 1129373
Nafikiri unaongea usichokifahamu. Mfano mmoja nakupa. Biashara iliosajiliwa kama kampuni inatakiwa ilipe kodi 30% ya faida yake. Hii ni mbali na VAT,PAYE etc. Sasa turudi kwenye faida ya 2m kwa mwaka ni 24m sasa hapo inabidi ulipe kodi 30% ambayo ni 7.2m....hapo vipi?Amini amini nakwambia mfanyakazi mwenye mshara wa 2M kwa mwezi kodi yake haipungui 3M kwa mwaka
Amini amini tena nakwambia mfanya bishara mwenye mtaji unaompa faida ya 2M kwa mwezi kodi yake haizidi 400k kwa mwaka.
''The income from your 5-9 job is taxed at a higher rate than any other form
of income''.
Over.
Hakuna mfanyabiashara anayepata faida ya 24m kwa Mwaka akalipa kodi 7.2m kwa Mwaka! Akilipa 7.2m kwa Mwaka kama kodi ujue kapata faida ya zaidi ya 100m kwa Mwaka husika. Mfanyabiashara anategemewa na TRA kutoa information za mauzo ndio AKADIRIWE kodi! Wengi huwa wanatoa false information kukwepa kodi! Hakuna mfanyakazi anayekadiriwa kodi, huwa wanalipa exactly wanachotakiwa kulipa kwa sababu system za mishahara yao ziko well controlled. Kama wafanyabiashara mauzo yao yangekuwa yanapita kwenye channel Fulani ambayo gvt unaweza kuona tungekuwa tunakusanya trillion 3+ kwa mwezi! (Achana na EFD receipts kwani wengi hawakati)Nafikiri unaongea usichokifahamu. Mfano mmoja nakupa. Biashara iliosajiliwa kama kampuni inatakiwa ilipe kodi 30% ya faida yake. Hii ni mbali na VAT,PAYE etc. Sasa turudi kwenye faida ya 2m kwa mwaka ni 24m sasa hapo inabidi ulipe kodi 30% ambayo ni 7.2m....hapo vipi?
Amini amini nakwambia mfanyakazi mwenye mshara wa 2M kwa mwezi kodi yake haipungui 3M kwa mwaka
Amini amini tena nakwambia mfanya bishara mwenye mtaji unaompa faida ya 2M kwa mwezi kodi yake haizidi 400k kwa mwaka.
''The income from your 5-9 job is taxed at a higher rate than any other form
of income''.
Over.
Nafikiri umerukia tu nakujibu bila kujua chimbuko la post yangu. Mleta mada KASEMA 2M PROFIT PER MONTH. Na mimi nimemjibu hesabu ya kodi ya profit ya 2m per month in a year. Whether wafanyabiazhara wanalipa kodi au hawalipi makuachia wewe to judge coz you seem to know all businessmen in Tanzania.Hakuna mfanyabiashara anayepata faida ya 24m kwa Mwaka akalipa kodi 7.2m kwa Mwaka! Akilipa 7.2m kwa Mwaka kama kodi ujue kapata faida ya zaidi ya 100m kwa Mwaka husika. Mfanyabiashara anategemewa na TRA kutoa information za mauzo ndio AKADIRIWE kodi! Wengi huwa wanatoa false information kukwepa kodi! Hakuna mfanyakazi anayekadiriwa kodi, huwa wanalipa exactly wanachotakiwa kulipa kwa sababu system za mishahara yao ziko well controlled. Kama wafanyabiashara mauzo yao yangekuwa yanapita kwenye channel Fulani ambayo gvt unaweza kuona tungekuwa tunakusanya trillion 3+ kwa mwezi! (Achana na EFD receipts kwani wengi hawakati)
Kama hujanielewa vzr hapo juu basi siwez kutumia nguvu zaidiNafikiri umerukia tu nakujibu bila kujua chimbuko la post yangu. Mleta mada KASEMA 2M PROFIT PER MONTH. Na mimi nimemjibu hesabu ya kodi ya profit ya 2m per month in a year. Whether wafanyabiazhara wanalipa kodi au hawalipi makuachia wewe to judge coz you seem to know all businessmen in Tanzania.
Na wewe kama hujanielewa siwezi kutumia nguvu zaidiKama hujanielewa vzr hapo juu basi siwez kutumia nguvu zaidi
Acha kazi ,ufanye biashara uone kimbembr chakeAmini amini nakwambia mfanyakazi mwenye mshara wa 2M kwa mwezi kodi yake haipungui 3M kwa mwaka
Amini amini tena nakwambia mfanya bishara mwenye mtaji unaompa faida ya 2M kwa mwezi kodi yake haizidi 400k kwa mwaka.
''The income from your 5-9 job is taxed at a higher rate than any other form
of income''.
Over.
Mi nimeongelea kodi, swala LA biashara imekuwa ngumu/rahisi hayo ni mambo mengine.Acha kazi ,ufanye biashara uone kimbembr chake
Acha kazi ,ufanye biashara uone kimbembr chake