Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
Hapana, biashara nying zinafeli kwa sababu ya mzunguko mdogo wa fedha na siyo kodi.... kodi hata ikichajiwa 50% ya faida, hauwez kuleta athari ktk mzunguko imara wa kibiashara. Kimsingi mfanyabiashara analipa kodi kubwa kuliko mfanyakazi, na ndyo maana inakuwezesha ww kupata huo mshahara kila mwezi
Mi nimeongelea kodi, swala LA biashara imekuwa ngumu/rahisi hayo ni mambo mengine.
Hoja ni kwamba employee makato ni makubwa sana ukilinganisha na kipato chao.
Kingine failure no 1 kwenye biashara ni kufuata sheria zote ikiwemo kulipa kodi 100%.