TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Sasa huo u exclusive uko wapi! Mbona hata kwenye vyombo mbalimbali vya habari hii taarifa ilirushwa pamoja na hayo majeneza! Tena yakiwa kabisa na picha za hao marehemu!!

Au inawezeka sielewi maana sahihi ya neno "exclusive"? Aaaah!! Sorry! Kumbe ulipigia kwenye ghorofa la NHIF, lililo mkabala na jengo la TRA!! Hongera sana mkuu.
 
Rudi shule bwana mdogo ukafundishwe kuandika kwanza ndio urudi kutuambia unataka kusemaje...
 
Kipindi hiki cha sayansi na teknolojia kubwa kweli maafisa wenye PHD zenu mnakimbizana na raia mtaani wakati zipo njia nyepesi tu za kufanya tracking na mkaweza kukamata wahalifu na kudhibiti magendo yote.

Elimu bila maarifa huleta utumwa wa akili na maafa.
 
Pole kwa wafiwa.
Kufa kufaana ajira 5 zitatolewa
 
Hii barabara ya kwetu ni mbaya kuliko. Hainiingii akilini watu kukimbiza gari kwenye barabara hii. Kwa nini hawakupiga simu polisi ili askari wa barabarani waisimamishe? Hii barabara ni hatari sana. Anyway tunajifunza kitu hapo. Tuwa makini. TRA msiwambie wafanyakazi wenu wakimbize magari. Hilo la kufukuzia magari waachieni polisi wanajua jinsi ya kuyakamata.
 
Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
Gari walilokuwa wanalifukuza liliovetake gari la mbele yake na wao waka follow suit wakaona kuna gari mbele limekaribia wakarudi walikotoka ndipo wakagonga fuso kwa nyuma. Kwa vile walivyokuwa speed kubwa ndiyo ikatokea hivyo. Dereva wa fuso naye katestify.
 
So na hayo magendo nayo yaligongwa au?hii ni hasara sana kwa wanafamilia hasa huyo dogo wa kipemba aisee 26 tu sometimes alikuwa field.

Namaanisha hiyo gari iliyokuwa ikifukuzwa au jamaa walitembea?
 
Kusikia tunasikia mengi sana ya watu kama wanavyosikia mengi yetu wengine
Kama tusivyopenda kuhukumiwa basi na sisisisi tusihukumu
Wewe ni mfanyakazi wa TRA nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…