Tetesi: wafanyakazi wawili wa ndani wauliwa na maboss zao wa kihindi masaki

Tetesi: wafanyakazi wawili wa ndani wauliwa na maboss zao wa kihindi masaki

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
wa kwanza
inasemekana lakini
jamaa aliitwa na boss wake jioni aende fasta at any cost kuna kazi ya kufanya akachukua bodaboda alipofika kwa boss akamuambia ampe hela alipe bodaboda boss akawa anagoma so kukatokea purukushani hivi boss muhindi akamsukuma jamaa akafariki
mlinzi wa hyo nyumba,muhindi ,bodaboda wapo oysterbay polisi

jamaa wa pili nae boss alikuwa na party wageni walivoondoka jamaa akachukua msosi sijui alipewa alivoweka tu kwa mdomo ikabaki historia boss nae yupo kitaa si mnajua pesa kazikwa leo

mwenye habari kwa undani anaweza akatoa hii ndo jf

update! tunaomba hii kesi ifuatiliwe muhindi asije akatoroshwa maana hii nchi rushwa sana pia bodaboda wa watu aachiliwe kwani alikosea nini?
na huyo wa sumu tajiri aeleze vizuri mtu amekufaje nyumbani kwake?
 
Asante kwa taarifa but Miss Natafuta kuna sehemu inakanganya kidogo kwenye Habari yako. Hapo kwa aliye sukumwa alisukumwa akaangukia kitu or juu ghorofani akadondoka?
Huyo wa pili alikufa baada ya kula hicho chakula ama VP?
 
Asante kwa taarifa but Miss Natafuta kuna sehemu inakanganya kidogo kwenye Habari yako. Hapo kwa aliye sukumwa alisukumwa akaangukia kitu or juu ghorofani akadondoka?
Huyo wa pili alikufa baada ya kula hicho chakula ama VP?
kwenye ngazi mkuu
 
Kwa hiyo mkuu hili sio tukio la pamoja? Ni matukio mawili tofauti sehemu tofauti
 
Sikutegemea kama hii habari itaandikwa hivi na Mtu mkongwe na m bobezi kama Miss Natafuta, hebu iweke vizuri angalau kwa kuzitengenisha kwa Paragraph!
 
Na wasi wasi na wadukuzi isije kuwa wamedukuwa akaunti yako,

Sio kawaida yako unaonekana hauko sawa sawa ,

Ata majibu unayowapa wadau yanatia shaka kama ni wewe?
 
Back
Top Bottom