Tetesi: wafanyakazi wawili wa ndani wauliwa na maboss zao wa kihindi masaki

Tetesi: wafanyakazi wawili wa ndani wauliwa na maboss zao wa kihindi masaki

Huyo itakuwa kaiba hela ya boss maana wabongo kwa wizi!

Hapo hamna kesi fanyeni kazi acheni majungu
 
Huyo itakuwa kaiba hela ya boss maana wabongo kwa wizi!

Hapo hamna kesi fanyeni kazi acheni majungu
Natamani sana usikie ni ndugu yako hakika hayo maneno yako yangeishia hapo koon
 
Huyo aliyesukumwa na huyo aliyekula sumu,matukio yametokea nyumba moja?na muhusika mmoja?..
 
wa kwanza
inasemekana lakini
jamaa aliitwa na boss wake jioni aende fasta at any cost kuna kazi ya kufanya akachukua bodaboda alipofika kwa boss akamuambia ampe hela alipe bodaboda boss akawa anagoma so kukatokea purukushani hivi boss muhindi akamsukuma jamaa akafariki
mlinzi wa hyo nyumba,muhindi ,bodaboda wapo oysterbay polisi

jamaa wa pili nae boss alikuwa na party wageni walivoondoka jamaa akachukua msosi sijui alipewa alivoweka tu kwa mdomo ikabaki historia boss nae yupo kitaa si mnajua pesa kazikwa leo

mwenye habari kwa undani anaweza akatoa hii ndo jf

update! tunaomba hii kesi ifuatiliwe muhindi asije akatoroshwa maana hii nchi rushwa sana pia bodaboda wa watu aachiliwe kwani alikosea nini?
na huyo wa sumu tajiri aeleze vizuri mtu amekufaje nyumbani kwake?
Uandishi wa mwendokasi!!!
 
tatizo mimi ni mvivu sana naona uvivu kuandika ndo tatizo
Naomba Mungu, huu uvivu wako uishie kwenye uvivu wa kuandika tuu na sio uvivu kwenye mambo mengine kama .....kucheza game..... za mazoezi ya mwili kama kwenda gym, kutembea, jogging na games za mazoezi tofauti tofauti likiwemo lile zoezi ... la kula chakula, maana kuna wadada wengi ni wavivu wa kula kwa kusingizia dayati.
Asante kwa taarifa.
Pasco
 
Huyo itakuwa kaiba hela ya boss maana wabongo kwa wizi!

Hapo hamna kesi fanyeni kazi acheni majungu
Haimanishi ndiyo umtoe mwenzako uhai kosa kakuibia.....PESA makaratasi TU uhai una thamani!

OVA
 
WASIJE WAKAACHIWA KIMCHONGO WAKAKIMBILIA CANADA AU INDIA
(Jetta style)

OVA
 
Back
Top Bottom