Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora unisaidie mkuu na nimeweka tetesi ! lazima habari iwe nusukasema anasikia soma umalize habari sio ukurupuke kuandika.
swissme
kwa hii serikali kwa gabachori tungesikia mengi kama ni mtanzania kauwa mpinzani.Sheria ichukue mkondo hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi wewe una babe wangapi?! mbona unatuchanganya?!
na mimi ni bebe wako[emoji12] [emoji12]hahaha hata wewe ukitaka unakuwa kwani limiti ni mababy wangapi?
ukitaka unaunga tu foleni mkuuna mimi ni bebe wako[emoji12] [emoji12]
dah! so sad mkuu hawa ndugu zetu sijui hio roho ya unanyasaji na kunyanyapaa itawaondoka lini shame on them[emoji36] [emoji36] [emoji36]kwenye ngazi mkuu
nataka nipo kweny folenukitaka unaunga tu foleni mkuu
Natamani sana usikie ni ndugu yako hakika hayo maneno yako yangeishia hapo koonHuyo itakuwa kaiba hela ya boss maana wabongo kwa wizi!
Hapo hamna kesi fanyeni kazi acheni majungu
Kumbe umezoea kuonjwa,ndio maana kule celeb unajitoa ufahamu.hahaha hata wewe ukitaka unakuwa kwani limiti ni mababy wangapi?
hapana mkuuHuyo aliyesukumwa na huyo aliyekula sumu,matukio yametokea nyumba moja?na muhusika mmoja?..
Uandishi wa mwendokasi!!!wa kwanza
inasemekana lakini
jamaa aliitwa na boss wake jioni aende fasta at any cost kuna kazi ya kufanya akachukua bodaboda alipofika kwa boss akamuambia ampe hela alipe bodaboda boss akawa anagoma so kukatokea purukushani hivi boss muhindi akamsukuma jamaa akafariki
mlinzi wa hyo nyumba,muhindi ,bodaboda wapo oysterbay polisi
jamaa wa pili nae boss alikuwa na party wageni walivoondoka jamaa akachukua msosi sijui alipewa alivoweka tu kwa mdomo ikabaki historia boss nae yupo kitaa si mnajua pesa kazikwa leo
mwenye habari kwa undani anaweza akatoa hii ndo jf
update! tunaomba hii kesi ifuatiliwe muhindi asije akatoroshwa maana hii nchi rushwa sana pia bodaboda wa watu aachiliwe kwani alikosea nini?
na huyo wa sumu tajiri aeleze vizuri mtu amekufaje nyumbani kwake?
Naomba Mungu, huu uvivu wako uishie kwenye uvivu wa kuandika tuu na sio uvivu kwenye mambo mengine kama .....kucheza game..... za mazoezi ya mwili kama kwenda gym, kutembea, jogging na games za mazoezi tofauti tofauti likiwemo lile zoezi ... la kula chakula, maana kuna wadada wengi ni wavivu wa kula kwa kusingizia dayati.tatizo mimi ni mvivu sana naona uvivu kuandika ndo tatizo
hujaelewa nini? my msuper baby ! trump baby on fleek!
Haimanishi ndiyo umtoe mwenzako uhai kosa kakuibia.....PESA makaratasi TU uhai una thamani!Huyo itakuwa kaiba hela ya boss maana wabongo kwa wizi!
Hapo hamna kesi fanyeni kazi acheni majungu