YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Wafanyakazi wengi wa serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi.
Unakuta mtu ana mshahara laki saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba.
Hela ikiingia benki wanakata anabaki na laki moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk.
Wafanyakazi wengi wanejaa madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ku finance artificial life style isiyoendana na kipato halisia.
Unakuta mtu ana mshahara laki saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba.
Hela ikiingia benki wanakata anabaki na laki moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk.
Wafanyakazi wengi wanejaa madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ku finance artificial life style isiyoendana na kipato halisia.