Wafanyakazi wengi wa Serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi

Wafanyakazi wengi wa Serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Wafanyakazi wengi wa serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi.

Unakuta mtu ana mshahara laki saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba.

Hela ikiingia benki wanakata anabaki na laki moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk.

Wafanyakazi wengi wanejaa madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ku finance artificial life style isiyoendana na kipato halisia.
 
Wafanyakazi wengi wa serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi

Unakuta mtu ana mshahara kali saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba
Hela ikiingia benki wanakata anabaki na lali moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk

Wafanyakazi wengi manejas madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ni ni ya ku finance artificial live style isiyoendana na kipato halisia

You are very right but moderate uzi wako usomeke vizuri , una typo nyingi mno
 
Kama nchi inakopa kwa ajili ya kufanya miradi ya maendeleo kwanini mfanyakazi asikope afanye maendeleo yake ya kujenga na kuwa na gari!
Maendeleo ni kuwekeza kwenye viingiza pesa wafanyakazi wengi wanakopa sana kwa akili ya vimeza pesa kama gari ya kutembelea fikiria mtu ana mshahara Net Pay laki nne anakopa mkopo wa gari la kutembelea makato laki mbio kila mwezi anabaki na laki mbili nusu hizo hizo Ale asomeshe watoto aweke mafuta kwenye gari nk hazitatosha kelele zitaanza kuwa mshahara hautoshi
 
Wewe unajishughulicsha na nini mkuu?

Tusije kuwa tunajadiliana nawewe kumbe una full employment ( kazi za KISIASA ambazo mshahara wake haukatwi),

Mfanya kazi yeyote yule duniani mshahara wake haumtoshi kwa sababu ya makato, mfano serikali ikiishiwa pesa kitu cha kwanza kufikiria ni kukata mshahara wa mfanyakazi.
 
Mimi sio mwajiriwa ila unakufuru sana! Mkiwa CCM mnajiona mmeyapatia maisha sana! Kumbuka Waswahili walisema "Mpanda ngazi hushuka" kumbuka hilo. Pia Wengine walisema "Be Good to people on your way up, you may meet them on your way down"! Kumbuka
 
Biashara nazo sio za kuingia kichwa kichwa, kuna baadhi ya biashara zimevurugwa na siasa mfano biashara ya sukari, korosho, mahindi, mafuta, simenti soon mpunga utaingiliwa.

Gharama za uzalishaji ni kubwa then unapangiwa uuze kwa bei ya kutupa

Maisha ya sasa yanahitaji akili nyingi sana.
Ni heri mfanyakazi akope ajenge kuliko kuvamia biashara.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unajishughulicsha na nini mkuu?

Tusije kuwa tunajadiliana nawewe kumbe una full employment ( kazi za KISIASA ambazo mshahara wake haukatwi),

Mfanya kazi yeyote yule duniani mshahara wake haumtoshi kwa sababu ya makato, mfano serikali ikiishiwa pesa kitu cha kwanza kufikiria ni kukata mshahara wa mfanyakazi.
Akikujibu uni tag

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Maisha yamebadilika, Usikariri! Usimpangie mtu kukopa ila inategemea malengo ya mkopaji.. wengi wao hapo ndio wanafeli
 
Mimi sio mwajiriwa ila unakufuru sana! Mkiwa CCM mnajiona mmeyapatia maisha sana! Kumbuka Waswahili walisema "Mpanda ngazi hushuka" kumbuka hilo. Pia Wengine walisema "Be Good to people on your way up, you may meet them on your way down"! Kumbuka
Hapo mwishoni ungeandika kwa kiswahili labda angeelewa uyo ...
 
Aliekutuma mwambie aache robo mbaya,hapa duniani tunapita tu,miaka 6 bila nyongeza duh,sukar,mafuta,cement n.k viko juu bado salary ni ile ile.
 
Wafanyakazi wengi wa serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi.

Unakuta mtu ana mshahara laki saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba.

Hela ikiingia benki wanakata anabaki na laki moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk.

Wafanyakazi wengi manejaa madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ku finance artificial life style isiyoendana na kipato halisia.

Kila mtu anayo life style yake, sio lazima kila mtu awe mfanyabiashara hapo ndio mnapokosea! Huo uchumi mliosoma kua wote tuwe investors ni wa wapi, simple formula ya kukopa ni ukope kwa sababu maalum kama kununua gari ndio kipaumbele chako its ok.

Alafu vitu kama gari ni vitu vya kawaida tu sema mazingira yetu ya kimaskini yame “shape” ionekane ni anasa!
 
Maendeleo ni kuwekeza kwenye viingiza pesa wafanyakazi wengi wanakopa sana kwa akili ya vimeza pesa kama gari ya kutembelea fikiria mtu ana mshahara Net Pay laki nne anakopa mkopo wa gari la kutembelea makato laki mbio kila mwezi anabaki na laki mbili nusu hizo hizo Ale asomeshe watoto aweke mafuta kwenye gari nk hazitatosha kelele zitaanza kuwa mshahara hautoshi
Tusipangiane maisha,hayo pia Ni maendeleo,si kila mtu anaweza kufanya biashara,na mtu huyohuyo akikaa kazini miaka kadhaa akapata matatizo mnaishia kusema hakukumbuka hata kujenga masikini,hata akibaki na mwisho wa mwez na mshahara kamili wa laki 7 huku Hana maendeleo yoyote bado ataonelana mjinga zaidi,Bora abaki na elf 50 i'la ana nyumba Yake na gari
 
Wafanyakazi wengi wa serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi.

Unakuta mtu ana mshahara laki saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba.

Hela ikiingia benki wanakata anabaki na laki moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk.

Wafanyakazi wengi manejaa madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ku finance artificial life style isiyoendana na kipato halisia.
Kwa hiyo nyinyi Ma ccm ndiyo mna haki ya kutembelea Ma V8 na kuishi kwenye Mahekalu!! Sisi tukinunua hata passo tu, inakua nongwa.

Hamna tofauti yoyote ile na Mafisi au Nguruwe. Ubinafsi tu na mawazo ya kimasikini ndivyo vilivyo wajaa kwenye mioyo ma akili zenu.
 
Nireteeni Gwajima
Nireteeni Tulia, Nitatulia
Huyu Daniel Hajui Kujiereza Ni Darasa ra Saba
Ila Kwenye Matatizo Yenu Atawatetea Kule Bungeni
 
Tuanzie hapa benk gani inaweza toa mkopo wa kutosha kununua gari na kujenga bonge la nyumba kwa mshahara wa laki saba???

Nani asiyependa kuishi kwake?
Nani asiyependa kuendesha biashara yake?
Usafiri ni jambo la muhimu katika maisha, je nfumo wa usafiri wa umma ni rafiki?

Labda tuanzie hapa tatizo ni nini kuliko kulaumu manake ni rahisi sana kumzungumzia mtu mwingine.
 
Wafanyakazi wengi wa serikali wanaishi maisha artificial ndio maana wanaona mishahara haitoshi.

Unakuta mtu ana mshahara laki saba kakopa benki kanunua gari na zingine anajenga bonge la jumba.

Hela ikiingia benki wanakata anabaki na laki moja!!! Anaanza kuishi kwenye mzunguko wa madeni kopa huku nk.

Wafanyakazi wengi wanejaa madeni ya kijinga jinga tu heri wangekopa na kuwekeza lakini mikopo mingi ni ya ku finance artificial life style isiyoendana na kipato halisia.
Bila shaka unazungumzia waalimu wetu au?
 
Back
Top Bottom