Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Mkuu unapokua unafanya kazi serikalini kwenye swala la mkopo kuna kitu kinaitwa 1/3 kwaio kimsingi huwezi kukopa kupitiliza hio 1/3 ya mshahara kwaio kama mshahara 700000÷3 = 233,000 kwaio utakopa ukopavyo hio senti itabaki kunako account ya mshahara...Wapi Mark X tujaze full tank wikend imeshaingia...