Wafichuzi wa maovu wazidi kukabiliwa na hatari Afrika

Wafichuzi wa maovu wazidi kukabiliwa na hatari Afrika

Hiyo ni report ya Ghana. Sioni uhatari wowote kwa Tz mpaka hao unaowasema wausome kimya kimya.
Labda ungesema unalinganisha matukio.
Jambo Afande.
Kwa hiyo reports za waandishi wa habari wa tz wanalio fanyiwa vitendo vya kihuni na vyombo vya usalama wewe hujawahi kuvisikia?
 
Jambo Afande.
Kwa hiyo reports za waandishi wa habari wa tz wanalio fanyiwa vitendo vya kihuni na vyombo vya usalama wewe hujawahi kuvisikia?
Naona unahangaika. Kuwa wewe afande kama unapenda.
Nimekuuliza kwa kuwa sikuona hatari yoyote ya kuwafanya wanasome kimya kimya.
Report uliyotoa imeshaandikwa na DW na inawahusu hao wa Ghana waliotajwa.
 
Naona unahangaika. Kuwa wewe afande kama unapenda.
Nimekuuliza kwa kuwa sikuona hatari yoyote ya kuwafanya wanasome kimya kimya.
Report uliyotoa imeshaandikwa na DW na inawahusu hao wa Ghana waliotajwa.
Anaye angalia nu wewe na wenzio . Tulieni tunapoelekea ni pazuri
 
Hawa ni baadhi TU ya waandishi wa habari wa bongo walio fanyiwa vitendo vya kihuni na vyombo vya usalama. List ni ndefu na tukisimulia tunakumbushia machungu🥺

Azory Gwanda - Mwandishi wa habari aliyejulikana kwa kuchunguza matukio ya uhalifu huko Rufiji, alitoweka mnamo Novemba 2017 na hadi leo hajulikani alipo. Azory alikuwa akiandika kuhusu mauaji ya viongozi wa vijiji na polisi katika eneo hilo.
1726058841257.png


Maxence Melo - Mwanzilishi wa JamiiForums, aliwahi kushikiliwa na vyombo vya usalama kutokana na msimamo wake wa kutokutoa taarifa za watumiaji wa tovuti yake. Maxence amekuwa akikumbana na shinikizo kwa kazi yake ya kuchapisha habari za uchunguzi.
WhatsApp Image 2016-12-16 at 11.22.36 AM.jpg


Erick Kabendera - Mwandishi huyu alikamatwa mnamo Julai 2019 na kushitakiwa kwa makosa ya utakatishaji fedha, ukwepaji kodi, na uongozi wa genge la uhalifu. Kabendera alikuwa akiandika kwa vyombo vya habari vya kimataifa kuhusu masuala ya kisiasa nchini Tanzania.
1726058718028.png


Salma Said - Mwandishi kutoka Zanzibar aliyewahi kushambuliwa na kikundi cha watu wasiojulikana mwaka 2015. Tukio hili liliripotiwa kuhusishwa na kazi yake ya uandishi wa habari, hasa wakati wa uchaguzi wa Zanzibar.
1726058645266.png

List Bado ni ndefu ....
 
Hawa ni baadhi TU ya waandishi wa habari wa bongo walio fanyiwa vitendo vya kihuni na vyombo vya usalama. List ni ndefu na tukisimulia tunakumbushia machungu🥺

Azory Gwanda - Mwandishi wa habari aliyejulikana kwa kuchunguza matukio ya uhalifu huko Rufiji, alitoweka mnamo Novemba 2017 na hadi leo hajulikani alipo. Azory alikuwa akiandika kuhusu mauaji ya viongozi wa vijiji na polisi katika eneo hilo.
View attachment 3093259

Maxence Melo - Mwanzilishi wa JamiiForums, aliwahi kushikiliwa na vyombo vya usalama kutokana na msimamo wake wa kutokutoa taarifa za watumiaji wa tovuti yake. Maxence amekuwa akikumbana na shinikizo kwa kazi yake ya kuchapisha habari za uchunguzi.
View attachment 3093261

Erick Kabendera - Mwandishi huyu alikamatwa mnamo Julai 2019 na kushitakiwa kwa makosa ya utakatishaji fedha, ukwepaji kodi, na uongozi wa genge la uhalifu. Kabendera alikuwa akiandika kwa vyombo vya habari vya kimataifa kuhusu masuala ya kisiasa nchini Tanzania.
View attachment 3093257

Salma Said - Mwandishi kutoka Zanzibar aliyewahi kushambuliwa na kikundi cha watu wasiojulikana mwaka 2015. Tukio hili liliripotiwa kuhusishwa na kazi yake ya uandishi wa habari, hasa wakati wa uchaguzi wa Zanzibar.
View attachment 3093256
List Bado ni ndefu ....
Kwahiyo hao ni waandishi wa habari?

Nilikuwa na mashaka kidogo ila nimeshathibitisha. Kila la heri

Jifunze kwanza kuandika. Umeandika utumbo gani hapo?
 
Hawa ni baadhi TU ya waandishi wa habari wa bongo walio fanyiwa vitendo vya kihuni na vyombo vya usalama. List ni ndefu na tukisimulia tunakumbushia machungu🥺

Azory Gwanda - Mwandishi wa habari aliyejulikana kwa kuchunguza matukio ya uhalifu huko Rufiji, alitoweka mnamo Novemba 2017 na hadi leo hajulikani alipo. Azory alikuwa akiandika kuhusu mauaji ya viongozi wa vijiji na polisi katika eneo hilo.
View attachment 3093259

Maxence Melo - Mwanzilishi wa JamiiForums, aliwahi kushikiliwa na vyombo vya usalama kutokana na msimamo wake wa kutokutoa taarifa za watumiaji wa tovuti yake. Maxence amekuwa akikumbana na shinikizo kwa kazi yake ya kuchapisha habari za uchunguzi.
View attachment 3093261

Erick Kabendera - Mwandishi huyu alikamatwa mnamo Julai 2019 na kushitakiwa kwa makosa ya utakatishaji fedha, ukwepaji kodi, na uongozi wa genge la uhalifu. Kabendera alikuwa akiandika kwa vyombo vya habari vya kimataifa kuhusu masuala ya kisiasa nchini Tanzania.
View attachment 3093257

Salma Said - Mwandishi kutoka Zanzibar aliyewahi kushambuliwa na kikundi cha watu wasiojulikana mwaka 2015. Tukio hili liliripotiwa kuhusishwa na kazi yake ya uandishi wa habari, hasa wakati wa uchaguzi wa Zanzibar.
View attachment 3093256
List Bado ni ndefu ....
Ushahidi kwamba walifanyiwa hayo na vyombo vya usalama unao?
 
Sasa nani keyboard worrier
Mzee wa task force anaekupoteza akitaka au wewe unaejimwabafai nyuma ya keyboard na kuufyata.?
Haha, umewapoteza wangapi Mzee wa task force, briefing?.
Hata nyie pia mpo hatarini , missions zenu Huwa mnajificha sana ,
 
Sasa nani keyboard worrier
Mzee wa task force anaekupoteza akitaka au wewe unaejimwabafai nyuma ya keyboard na kuufyata.?
Haha, una comments ukiwa umejificha kama unaangalia porn,
Hakuna anayefanya jinai akabaki salama
Unanisikia wewe Mzee wa task force!!
 
Back
Top Bottom