Wafichuzi wa maovu wazidi kukabiliwa na hatari Afrika

Haha, umewapoteza wangapi Mzee wa task force, briefing?.
Hata nyie pia mpo hatarini , missions zenu Huwa mnajificha sana ,
Hata kama the figure is endless.
Hata kama kuna kujificha, mbona bado mnalia lia?
Kwa nini msi react tuione hiyo hatari unayoisema?
 
Haha, una comments ukiwa umejificha kama unaangalia porn,
Hakuna anayefanya jinai akabaki salama
Unanisikia wewe Mzee wa task force!!
Utakuwa una mental disorder.
Ukiwa challenged tu, unakimbilia kuwapa watu uhusika fake.
Unataka wote tuwe na uniform thinking?
 
Hata kama the figure is endless.
Hata kama kuna kujificha, mbona bado mnalia lia?
Kwa nini msi react tuione hiyo hatari unayoisema?
Missions zenu zote ziko leaked, unalifahamu hilo wewe Mzee wa task force.
Mwenzako wa kule mlimani ameamua kujinunulia jeneza kabisa 😂, wewe unafikiri ni kwani
 
Utakuwa una mental disorder.
Ukiwa challenged tu, unakimbilia kuwapa watu uhusika fake.
Unataka wote tuwe na uniform thinking?
Sasa nani keyboard worrier
Mzee wa task force anaekupoteza akitaka au wewe unaejimwabafai nyuma ya keyboard na kuufyata.?
Hicho cheo cha 👆Mzee wa task force umejipa mwenyewe 😎
 
Jina lako linasadifu unachoandika hapa.
Jina langu liko wapi Sasa we Mzee wa task force, ona sasa unaanza kuweweseka , roho za watu hizo ,zinakusumbua
Utakufa mdomo wazi
 
Thinking capacity yako iko chini sana.
Hapa Jf imewapa Uhuru kila MTU+18 , mpaka wazee wa task force wapo Wana comments, safi sana huu uhuru huko kwenu ushezini haupo ,
Huko kwenu Ni mwendo TU Amri, ndio mkuu.
 
Hapa Jf imewapa Uhuru kila MTU+18 , mpaka wazee wa task force wapo Wana comments, safi sana huu uhuru huko kwenu ushezini haupo ,
Huko kwenu Ni mwendo TU Amri, ndio mkuu.
Tafuta ndimu na maembe mabichi, yatakusaidia kwa hali unayojisikia.
 
Maisha yallivo magumu,na mimi nahamu ya kutekwa na kwenda kuuwawa!!!,,,mke kanikimbia,kimshara hakitoshi,madeni kibao,na kila nikipata demu naambukizwa U.T,I,,,sasa naishi kwa ajili gani???
 
Maisha yallivo magumu,na mimi nahamu ya kutekwa na kwenda kuuwawa!!!,,,mke kanikimbia,kimshara hakitoshi,madeni kibao,na kila nikipata demu naambukizwa U.T,I,,,sasa naishi kwa ajili gani???
Mkuu pole Kwa unayoyapitia .
Ila furaha na amani ya moyo ,haitokani na vitu vya kununua TU, bali inaanza na wewe kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…