Wafiwa wazika nguo tu baada ya kushindwa kulipa gharama za matibabu na Mochwari Hospitali ya Bungando

Wafiwa wazika nguo tu baada ya kushindwa kulipa gharama za matibabu na Mochwari Hospitali ya Bungando

shamimuodd

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,188
Reaction score
2,113
GTs,

Imetokea huko Mwanza, familia moja ilipata majanga ya mtoto kuungua moto, akapelekwa hospitali Bungando na kulazwa kwa siku kadhaa na bahati mbaya akafariki. Uongozi wa Hospitali ya Bungando walizuia mwili na hivyo kupelekea familia kwenda kuzika nguo tu.

Na hili limetokea mwezi huu, na imauma hasa serikali inapokuwa imetolea ufafanuzi kuwa eti haizuii miili ya watu.

Je kuna faida gani kwa hospitali kuzuia mwili wa marehemu? Kwani huwa hakuna utaratibu wa angalau kulipa kidogo kidogo??
 
juzi juzi waliongelea bungeni na waziri wa afya akakakanusha lakini ukweli unaonekana tunaacha kuchangiana mambo ya maana tunachangishana kuwasaidia watu wenye uwezo
 
Mkuu, utaratibu huo upo ili kulipia gharama za matibabu.

Hata kama ni wewe, ukishapewa maiti ya mpendwa wako ni vigumu sana kurudi kulipa gharama.

Tuwe watu wa uhalisia.
 
Shida ya wabongo pia siyo waaminifu kwenye kulipa madeni yaani bila kumshurutisha akiwa na shida/uhitaji hupati chochote.

(Tafuta uzi wa wadau humu wakiona ushujaa kuwatapeli TALA)

Hata lile tamko la Ummy Mwalimu pale MLOGANZILA sijui kama limeanza kutekelezwa!

Labda iwe mtu akifiwa asilipe kabisa lakini kutegemea akulipe akishazika SAHAU.

Hata HESLB wanayo habari!
 
My heart is perforated : YAANI HAPA TZ hapa hapa NYUMBANI kwa Baba na Mama Yangu? Serikali iweke mfumo mzuri hii ni mbaya kuliko jamani


GTs,

Imetokea huko Mwanza, familia moja ilipata majanga ya mtoto kuungua moto, akapelekwa hospitali Bungando na kulazwa kwa siku kadhaa na bahati mbaya akafariki. Uongozi wa Hospitali ya Bungando walizuia mwili na hivyo kupelekea familia kwenda kuzika nguo tu.

Na hili limetokea mwezi huu, na imauma hasa serikali inapokuwa imetolea ufafanuzi kuwa eti haizuii miili ya watu.

Je kuna faida gani kwa hospitali kuzuia mwili wa marehemu? Kwani huwa hakuna utaratibu wa angalau kulipa kidogo kidogo??
art if
 
GTs,

Imetokea huko Mwanza, familia moja ilipata majanga ya mtoto kuungua moto, akapelekwa hospitali Bungando na kulazwa kwa siku kadhaa na bahati mbaya akafariki. Uongozi wa Hospitali ya Bungando walizuia mwili na hivyo kupelekea familia kwenda kuzika nguo tu.

Na hili limetokea mwezi huu, na imauma hasa serikali inapokuwa imetolea ufafanuzi kuwa eti haizuii miili ya watu.

Je kuna faida gani kwa hospitali kuzuia mwili wa marehemu? Kwani huwa hakuna utaratibu wa angalau kulipa kidogo kidogo??
Sasa wakilaumiwa hapa ni Serikali au Jamii kutokuwa pamoja kugharamia matibabu ya mwezetu? Hiyo hospitali wakishindwa kulipia umeme kwa sababu ya bili kutokulipwa tutailaumu Serikali?
 
Sioni haja ya hospital kushikilia maiti wakati mtu ameshafariki...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaishikilia ili wakule nyama ama inakuwaje? Wameshindwa kulipa kwasababu ya hali ya maisha, wapewe mtu wao wakazike na siyo kuwapa deni! Deni halina maana mtu ameshafariki.

Halafu kuna katabia sikuhizi ka wale wanaofanya mazoezi kupasua miili ya watu na kuangalia baadhi ya viungo...si mbaya ila ni mbaya kama watakuwa wanafanya bila idhini ya wahusika.

Kuzuia maiti inaleta maswali sana mnooo! Wasije tu wakatoa viungo siku mnafata maiti mnakuta ina alama kama zote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIVI huyu mfu hakuwahi kulipa walau kodi au malipo yoyote kwa serikali, naye vile amekufa barabara bado haijajengwa ama huduma Fulani hajaipata pia amdai nani ili aende na haki yake? KUDAI MAITI ni UMASIKINI MKUBWA SANA,
 
GTs,

Imetokea huko Mwanza, familia moja ilipata majanga ya mtoto kuungua moto, akapelekwa hospitali Bungando na kulazwa kwa siku kadhaa na bahati mbaya akafariki. Uongozi wa Hospitali ya Bungando walizuia mwili na hivyo kupelekea familia kwenda kuzika nguo tu.

Na hili limetokea mwezi huu, na imauma hasa serikali inapokuwa imetolea ufafanuzi kuwa eti haizuii miili ya watu.

Je kuna faida gani kwa hospitali kuzuia mwili wa marehemu? Kwani huwa hakuna utaratibu wa angalau kulipa kidogo kidogo??
Hivi hospitali ikizuia maiti wanainawauza kwa Universities kwa ajili ya kufanyia uchunguzi? Maana najiuliza wanapata faida gani wakiachiwa maiti. Lazima kuna biashara basi.

Usikute hata wanauza kwa waganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom