bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Tena uliokithilo kwa maana unalipankodi maisha yako yote unadhalilishwa siku yako ambayo ujiwezi na uongei inamana hunathamani kwa fadhira zako za ulipokuwa hai ndio utajua tukiacha siasa tuwe na utu wa kibinadamu kwa mambo ya kibinadamu na yanayomgus kila mtu kwa wakati wakeHIVI huyu mfu hakuwahi kulipa walau kodi au malipo yoyote kwa serikali, naye vile amekufa barabara bado haijajengwa ama huduma Fulani hajaipata pia amdai nani ili aende na haki yake? KUDAI MAITI ni UMASIKINI MKUBWA SANA,
Sent using Jamii Forums mobile app