WAFU WAZIKANE: Serikali inachukua lawama moja kwa moja janga la asili lililotokea Hanang mkoani Manyara

WAFU WAZIKANE: Serikali inachukua lawama moja kwa moja janga la asili lililotokea Hanang mkoani Manyara

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
WhatsApp-Image-2023-12-03-at-14.35.57-780x470.jpeg


Serikali na watendaji wake wanachukua lawama ya moja kwa moja kwenye Janga la asili lililotokea Hanang.
Mlima Hanang, upo uchi, ni rahisi kwa mafuriko na maporomoko.Mji wa Katesh upo chini ya mlima na inajulikana kw azaidi ya miaka 500 hilo ni eneo la maporomoko ya mawe na mgogo ikinyesha mvua kubwa.

Maji kiasi ya mafuriko huelekea Ziwa Balangida Lehu , hapa Hanang kuna eneo la mafuriko na kila mtu anafahamu, nin jirani na ofisi za TANESCO na za Soko la Katesh na pia kwa chini kuna stendi ya basi yaani in short mji umejengwa kwenye njia ya maji na mafuriko.

Maafisa Ardhi na Mipango miji ndio wauzaji wa viwanja sehemu hatarishi , kama walijenga Janwani pale Dar basi sehemu yeyote wanakuuzi na kukupa hatai, ni wewe mwenyewe ujipange kufa siku maji yakirudi kwenye njia yake ya asili.

TV za Bongo na Radios zipo busy na miziki,sherehe za tuzo za waajiri bora Mlimani City,Magaidi wa Kiislamu kuivamia Israel, Yanga kuponea kipigo, uchambuzi wa soka na matangazo ya betting as if Taifa halipo kwenye janga la mudslide floods,vifo vingi,watu kufungiwa majumbani na kukosa huduma muhimu za chakula,maji,vyoo,matibabu,umeme,usafiri nk.

Hakuna live coverages za uokoaji wala utoaji maelekezo kupitia vyombo vya habari kuhusu wananchi nini kifanyike kwa sasa.Al Jazeera ipo live huko Gaza na West Bank toka Magaidi walipovamia Israel 7-10-2023.

Wanafki wanakesha "justice for Palestine" as if kwao hakuna majanga na wamekesha kukata viouno huku mioyo ya watu inabubujika machozi ya damu kwa vifo.

Hatuoni misaada mbalimbali ya kibinadamu kwa watu hawana kila siku tunaona makundi yaliyolengwa kikampeni za siasa (Mpira) yakipewa mamilioni ya magoli na kupewa safari. za ndege za mabilioni.

Majeshi yetu ya uokoaji,ulinzi nk ni rahisi kutoka hadharani kutafuta nguo zinazofanana na sare zao kuliko kuhamasisha na kutoa taarifa za uokoaji.
Tunafahamu wapo site ia wananchi wangewaona live wangehamasika kujitolea kwa mahitaji mbalimbali kama magari maji,equipments za kuokoa watu,kusafisha barabara,mahema,chakula,madawa,magodoro,blankets nk.

Hivi karubuni tuliona wafanyabiashara wakubwa wakipigiwa simu na mwenezi wa chama tawala na kutoa instantly mchango wa 500m lakini kwenye hili hatuwaoni wala hatuwasikii..je hawahitaji misaada? Je lazima wasubiri kupigiwa simu za kisiasa au je wananchi wa Hanang hawapati misaada kwa misimamo ya kisiasa.

Mbegu za magugu zinazopandwa Tanzania zimeanza kumea na zitalisumbua Taifa kuliko hata Ebola,ujinga na umaskini.​
 
View attachment 2832895

Serikali na watendaji wake wanachukua lawama ya moja kwa moja kwenye Janga la asili lililotokea Hanang.
Mlima Hanang, upo uchi, ni rahisi kwa mafuriko na maporomoko.Mji wa Katesh upo chini ya mlima na inajulikana kw azaidi ya miaka 500 hilo ni eneo la maporomoko ya mawe na mgogo ikinyesha mvua kubwa.

Maji kiasi ya mafuriko huelekea Ziwa Balangida Lehu , hapa Hanang kuna eneo la mafuriko na kila mtu anafahamu, nin jirani na ofisi za TANESCO na za Soko la Katesh na pia kwa chini kuna stendi ya basi yaani in short mji umejengwa kwenye njia ya maji na mafuriko.

Maafisa Ardhi na Mipango miji ndio wauzaji wa viwanja sehemu hatarishi , kama walijenga Janwani pale Dar basi sehemu yeyote wanakuuzi na kukupa hatai, ni wewe mwenyewe ujipange kufa siku maji yakirudi kwenye njia yake ya asili.

TV za Bongo na Radios zipo busy na miziki,sherehe za tuzo za waajiri bora Mlimani City,Magaidi wa Kiislamu kuivamia Israel, Yanga kuponea kipigo, uchambuzi wa soka na matangazo ya betting as if Taifa halipo kwenye janga la mudslide floods,vifo vingi,watu kufungiwa majumbani na kukosa huduma muhimu za chakula,maji,vyoo,matibabu,umeme,usafiri nk.

Hakuna live coverages za uokoaji wala utoaji maelekezo kupitia vyombo vya habari kuhusu wananchi nini kifanyike kwa sasa.Al Jazeera ipo live huko Gaza na West Bank toka Magaidi walipovamia Israel 7-10-2023.

Wanafki wanakesha "justice for Palestine" as if kwao hakuna majanga na wamekesha kukata viouno huku mioyo ya watu inabubujika machozi ya damu kwa vifo.

Hatuoni misaada mbalimbali ya kibinadamu kwa watu hawana kila siku tunaona makundi yaliyolengwa kikampeni za siasa (Mpira) yakipewa mamilioni ya magoli na kupewa safari. za ndege za mabilioni.

Majeshi yetu ya uokoaji,ulinzi nk ni rahisi kutoka hadharani kutafuta nguo zinazofanana na sare zao kuliko kuhamasisha na kutoa taarifa za uokoaji.
Tunafahamu wapo site ia wananchi wangewaona live wangehamasika kujitolea kwa mahitaji mbalimbali kama magari maji,equipments za kuokoa watu,kusafisha barabara,mahema,chakula,madawa,magodoro,blankets nk.

Hivi karubuni tuliona wafanyabiashara wakubwa wakipigiwa simu na mwenezi wa chama tawala na kutoa instantly mchango wa 500m lakini kwenye hili hatuwaoni wala hatuwasikii..je hawahitaji misaada? Je lazima wasubiri kupigiwa simu za kisiasa au je wananchi wa Hanang hawapati misaada kwa misimamo ya kisiasa.

Mbegu za magugu zinazopandwa Tanzania zimeanza kumea na zitalisumbua Taifa kuliko hata Ebola,ujinga na umaskini.​
Kwahiyo serikali ndio imeleta hiyo mudflow?
 
Kwahiyo serikali ndio imeleta hiyo mudflow?
Unawashwa wewe!

Maafisa ardhi, Mipango miji na wanasiasa wa CCM wanagawa viwanja kwenye flood zone. Eneo lingebaki oevu na kulindwa na NEMC, hayo mafuriko yangepita kwenye mkondo wake , tumia akili kidogo hata ya kwendea chooni.

Siyo Hanang tu, nimesema hata Dar Jangwani 2014 hao hao CCM tena kwa kutetea walijenga kituo cha mwenfokasi kwenye mafuriko.

Hao hao CCM 2001 waliuza sehemu ya uwanja wa ndege Moshi na waliopewa ni wakurugenzi na waliokuwa serikalini, sasa hivi kuna mgogoro wanatakiwa waondoke uwanja upanuliwe.​
 
Kama nchi yenye Maziwa makubwa matatu, mito mikubwa na chemchemi imeshindwa kutatuta tatizo la Maji. Usitegemee iweze kuendelea hata siku moja.
 
Kama nchi yenye Maziwa makubwa matatu, mito mikubwa na chemchemi imeshindwa kutatuta tatizo la Maji. Usitegemee iweze kuendelea hata siku moja.
Naskia bado maji yanakataa kuelekea kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme, tuendelee kupambana na mgao ooh noo, i mean "upungufu wa umeme" ambao baadae huenda ukaleta "mgao wa umeme".
 
View attachment 2832895

Serikali na watendaji wake wanachukua lawama ya moja kwa moja kwenye Janga la asili lililotokea Hanang.
Mlima Hanang, upo uchi, ni rahisi kwa mafuriko na maporomoko.Mji wa Katesh upo chini ya mlima na inajulikana kw azaidi ya miaka 500 hilo ni eneo la maporomoko ya mawe na mgogo ikinyesha mvua kubwa.

Maji kiasi ya mafuriko huelekea Ziwa Balangida Lehu , hapa Hanang kuna eneo la mafuriko na kila mtu anafahamu, nin jirani na ofisi za TANESCO na za Soko la Katesh na pia kwa chini kuna stendi ya basi yaani in short mji umejengwa kwenye njia ya maji na mafuriko.

Maafisa Ardhi na Mipango miji ndio wauzaji wa viwanja sehemu hatarishi , kama walijenga Janwani pale Dar basi sehemu yeyote wanakuuzi na kukupa hatai, ni wewe mwenyewe ujipange kufa siku maji yakirudi kwenye njia yake ya asili.

TV za Bongo na Radios zipo busy na miziki,sherehe za tuzo za waajiri bora Mlimani City,Magaidi wa Kiislamu kuivamia Israel, Yanga kuponea kipigo, uchambuzi wa soka na matangazo ya betting as if Taifa halipo kwenye janga la mudslide floods,vifo vingi,watu kufungiwa majumbani na kukosa huduma muhimu za chakula,maji,vyoo,matibabu,umeme,usafiri nk.

Hakuna live coverages za uokoaji wala utoaji maelekezo kupitia vyombo vya habari kuhusu wananchi nini kifanyike kwa sasa.Al Jazeera ipo live huko Gaza na West Bank toka Magaidi walipovamia Israel 7-10-2023.

Wanafki wanakesha "justice for Palestine" as if kwao hakuna majanga na wamekesha kukata viouno huku mioyo ya watu inabubujika machozi ya damu kwa vifo.

Hatuoni misaada mbalimbali ya kibinadamu kwa watu hawana kila siku tunaona makundi yaliyolengwa kikampeni za siasa (Mpira) yakipewa mamilioni ya magoli na kupewa safari. za ndege za mabilioni.

Majeshi yetu ya uokoaji,ulinzi nk ni rahisi kutoka hadharani kutafuta nguo zinazofanana na sare zao kuliko kuhamasisha na kutoa taarifa za uokoaji.
Tunafahamu wapo site ia wananchi wangewaona live wangehamasika kujitolea kwa mahitaji mbalimbali kama magari maji,equipments za kuokoa watu,kusafisha barabara,mahema,chakula,madawa,magodoro,blankets nk.

Hivi karubuni tuliona wafanyabiashara wakubwa wakipigiwa simu na mwenezi wa chama tawala na kutoa instantly mchango wa 500m lakini kwenye hili hatuwaoni wala hatuwasikii..je hawahitaji misaada? Je lazima wasubiri kupigiwa simu za kisiasa au je wananchi wa Hanang hawapati misaada kwa misimamo ya kisiasa.

Mbegu za magugu zinazopandwa Tanzania zimeanza kumea na zitalisumbua Taifa kuliko hata Ebola,ujinga na umaskini.​

Mkuu una maoni gani kuhusu ilipo miji ya Moshi, Morogoro nk?
 
Mkuu una maoni gani kuhusu ilipo miji wa Moshi, Morogoro nk?
Moshi, maeneo ya Bonite, Chekereni , TPC, Kikuletwa, Kahe, kilema pofo na miji mipya mingi ni maeneo ya mafuriko kabisa, na watu wanagawiwa viwanja na kuuziana.
Mwaka 1993 Zakia Meghji alipambana kuokoa watu kwenye mafuriko hapo Moshi na ndio ikamtoa kiasa, hayo ni maeneo machache yapo wazi wala si jambo la kujiuliza, sasa subiri siku maji yarudi njia yake ya asili.
morogoro vile vile kuna flood zone wapogoro wanajinafasi, watapata wanachotaka, sisi tutakuwa busy kuwaonea huruma magaidi wa kipalestina,
 
Moshi, maeneo ya Bonite, Chekereni , TPC, Kikuletwa, Kahe, kilema pofo na miji mipya mingi ni maeneo ya mafuriko kabisa, na watu wanagawiwa viwanja na kuuziana.
Mwaka 1993 Zakia Meghji alipambana kuokoa watu kwenye mafuriko hapo Moshi na ndio ikamtoa kiasa, hayo ni maeneo machache yapo wazi wala si jambo la kujiuliza, sasa subiri siku maji yarudi njia yake ya asili.
morogoro vile vile kuna flood zone wapogoro wanajinafasi, watapata wanachotaka, sisi tutakuwa busy kuwaonea huruma magaidi wa kipalestina,
Vipi vilipo chuo cha maji Rwegarulila, CoET, Mlimani City, Ubungo, Sinza au Tegeta? Tutayakimbia maeneo badala ya kupambana?

Uholanzi karibu theluthi moja ya nchi Iko chini ya usawa wa bahari:

Is the Netherlands below sea level? - Netherlands Tourism

Mkuu sisi tutakuwa CCM katuroga. Huyu hakupaswa kuwa madarakani wala katiba ya nchi haikupaswa kuwa hii!
 
Vipi vilipo chuo cha maji Rwegarulila, CoET, Mlimani City, Ubungo, Sinza au Tegeta? Tutayakimbia maeneo badala ya kupambana?

Uholanzi karibu theluthi moja ya nchi Iko chini ya usawa wa bahari:

Is the Netherlands below sea level? - Netherlands Tourism

Mkuu sisi tutakuwa CCM katuroga. Huyu hakupaswa kuwa madarakani wala katiba ya nchi haikupaswa kuwa hii!
WAcha hekaya za alfu ulela lena na ndoto za alinacha, Coet Mlimani City ulishaoa mafuriko?
Kabla hata 2005 kuanza kujengwa mlimani hapakuwa na maji ila ardhi oevu ambapo mifereji toka hall 5 na 6 yalielekezwa kule, COET hakuna mafuriko na UDSM ipo juu mlimani na ndio maana inaitwa Mlimani.
Sinza maji yalikuwa yanatuama na si mafuriko, elewa maji kutuama na mafuriko, yaani eneo la Sinza lipo karibu na water table.
Habari land reclamation tuifanye hapa Dar ya nini wakati tuna ardhi-bikra 80% ?
Utumie trilions of dollar kuhamisha maji ili uishi wakati kigamboni yenyewe hata robo haijajengwa?
Uholanzi hawana maeneo ndio sababu wanafukuza bahari.

Kama unafikir land reclamation inafanyika kila pahala waambie GAZA-PALESTINA si wamajazana sehemu moja, waambie wafukuze maji pale wajenge makazi.
Kwa ufupi kufukuza maji pia inangaliwa nature ya fukwe, si kila bahari unaweza fanya reclamation.
 
WAcha hekaya za alfu ulela lena na ndoto za alinacha, Coet Mlimani City ulishaoa mafuriko?
Kabla hata 2005 kuanza kujengwa mlimani hapakuwa na maji ila ardhi oevu ambapo mifereji toka hall 5 na 6 yalielekezwa kule, COET hakuna mafuriko na UDSM ipo juu mlimani na ndio maana inaitwa Mlimani.
Sinza maji yalikuwa yanatuama na si mafuriko, elewa maji kutuama na mafuriko, yaani eneo la Sinza lipo karibu na water table.
Habari land reclamation tuifanye hapa Dar ya nini wakati tuna ardhi-bikra 80% ?
Utumie trilions of dollar kuhamisha maji ili uishi wakati kigamboni yenyewe hata robo haijajengwa?
Uholanzi hawana maeneo ndio sababu wanafukuza bahari.

Kama unafikir land reclamation inafanyika kila pahala waambie GAZA-PALESTINA si wamajazana sehemu moja, waambie wafukuze maji pale wajenge makazi.
Kwa ufupi kufukuza maji pia inangaliwa nature ya fukwe, si kila bahari unaweza fanya reclamation.

Ni kweli kuwa tuna ardhi bwerere isiyohitaji kwenda baharini. Mfano wangu kuihusu Holland ni kuwa maeneo yetu tunaishi kama manyani bila ya miundo mbinu kuendelezwa.

Chini ya milima kuna hatari zake na hasa kwa miundo mbinu iliyotelekezwa tuishi kama manyani.
 
Ni kweli kuwa tuna ardhi bwerere isiyohitaji kwenda baharini. Mfano wangu kuihusu Holland ni kuwa maeneo yetu tunaishi kama manyani bila ya miundo mbinu kuendelezwa.

Chini ya milima kuna hatari zake na hasa kwa miundo mbinu iliyotelekezwa tuishi kama manyani.
Hata huko Kigamboni ukienda pemba mnazi, watu wamekimbilia kwenye mabonde ya maji.
Mji wa Goba na Tegeta B watu wanauziwa mabondeni nna wanapewa hati, huoni hapa serikali inahusika 100%
 
Back
Top Bottom