Wafuasi wa Lissu wanataka kuwaaminisha watu kwamba kumchagua Mbowe ni rushwa siyo Demokrasia

Wafuasi wa Lissu wanataka kuwaaminisha watu kwamba kumchagua Mbowe ni rushwa siyo Demokrasia

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Lisu ameongozana na wafuasi wengi ambao badala ya kushawishi wachaguliwe wanashawishi wanachama waamini kwamba Mbowe anatumia fedha.

Lakini najiuliza mbona uchaguzi wa mabaraza yote hakuna rushwa iliyoonekana wala kuthibitika? Nataka kujiuliza mjumbe aliyefutwa uongozi kwenye kanda yake alitegemea aje kupitishwa na kamati kuu?

Tusubiri washindwe tuone kama awajaungana na Msigwa kwenda CCM.....tatizo lao siyo uchaguzi bali ni maslahi binafsi na kujiona wao ni zaidi ya wengine wote.
 
Lisu ameongozana na wafuasi wengi ambao badala ya kushawishi wachaguliwe wanashawishi wanachama waamini kwamba Mbowe anatumia fedha.

Lakini najiuliza mbona uchaguzi wa mabaraza yote hakuna rushwa iliyoonekana wala kuthibitika? Nataka kujiuliza mjumbe aliyefutwa uongozi kwenye kanda yake alitegemea aje kupitishwa na kamati kuu?

Tusubiri washindwe tuone kama awajaungana na Msigwa kwenda CCM.....tatizo lao siyo uchaguzi bali ni maslahi binafsi na kujiona wao ni zaidi ya wengine wote.
Lissu hajawahi kuwa kiongozi wa Taasisi yoyote ile apart ya ofisi ya uwakil wake. Hana uwezo wala kipaji cha uongozi. Uongozi ni karama, kipaji na busara. Vyote hivi hana.

Freeman Mbowe anashinda uchaguzi huu asubuhi na mapema kwa zaidi ya kura 65%
 
Lisu ameongozana na wafuasi wengi ambao badala ya kushawishi wachaguliwe wanashawishi wanachama waamini kwamba Mbowe anatumia fedha.

Lakini najiuliza mbona uchaguzi wa mabaraza yote hakuna rushwa iliyoonekana wala kuthibitika? Nataka kujiuliza mjumbe aliyefutwa uongozi kwenye kanda yake alitegemea aje kupitishwa na kamati kuu?

Tusubiri washindwe tuone kama awajaungana na Msigwa kwenda CCM.....tatizo lao siyo uchaguzi bali ni maslahi binafsi na kujiona wao ni zaidi ya wengine wote.
Tumeshawakanda 3-0 mpaka dakika hii! Tunaenda kukata mzizi wa fitina leo. Lissu na timu yake wamedhihirisha ni watu wa hovyo hovyo! Tukimaliza uchaguzi huu bora tuwatimue kwenye chama maana wanaweza kuongoza rebellion!
 
Lissu hajawahi kuwa kiongozi wa Taasisi yoyote ile apart ya ofisi ya uwakil wake. Hana uwezo wala kipaji cha uongozi. Uongozi ni karama, kipaji na busara. Vyote hivi hana.

Freeman Mbowe anashinda uchaguzi huu asubuhi na mapema kwa zaidi ya kura 65%
Kwa hio Makamu mwenyekiti wa Chadema sio kiongozi? Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi bungeni sio kiongozi,? Mbunge sio kiongozi? Mkurugenzi wa sheria na Katiba Chadema sio Kiongozi?
Kama Lissu hajawahi kuwa kiongozi,Chadema kuna mwanachama gani mwingine kwa sasa, mwenye Uzoefu wa uongozi ?
Ni UCHAWA umekufanya Uandike u hafu huu? Au ni Akili hauna?
 
Kwa hio Makamu mwenyekiti wa Chadema sio kiongozi? Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi bungeni sio kiongozi,? Mbunge sio kiongozi? Mkurugenzi wa sheria na Katiba Chadema sio Kiongozi?
Kama Lissu hajawahi kuwa kiongozi,Chadema kuna mwanachama gani mwingine kwa sasa, mwenye Uzoefu wa uongozi ?
Ni UCHAWA umekufanya Uandike u hafu huu? Au ni Akili hauna?
Umemjibu vizuri mwanajeshi ingawa hana akili sijui jeshini alienda kufanya nini?
 
Kwa hio Makamu mwenyekiti wa Chadema sio kiongozi? Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi bungeni sio kiongozi,? Mbunge sio kiongozi? Mkurugenzi wa sheria na Katiba Chadema sio Kiongozi?
Kama Lissu hajawahi kuwa kiongozi,Chadema kuna mwanachama gani mwingine kwa sasa, mwenye Uzoefu wa uongozi ?
Ni UCHAWA umekufanya Uandike u hafu huu? Au ni Akili hauna?
Huyo ni chawa wa Kizimkazi kama alivyo Mbowe.
 
Yale yale waliyokua wanawapakazia ccm wao wanayatenda vizuri sana
 
Lisu ameongozana na wafuasi wengi ambao badala ya kushawishi wachaguliwe wanashawishi wanachama waamini kwamba Mbowe anatumia fedha.

Lakini najiuliza mbona uchaguzi wa mabaraza yote hakuna rushwa iliyoonekana wala kuthibitika? Nataka kujiuliza mjumbe aliyefutwa uongozi kwenye kanda yake alitegemea aje kupitishwa na kamati kuu?

Tusubiri washindwe tuone kama awajaungana na Msigwa kwenda CCM.....tatizo lao siyo uchaguzi bali ni maslahi binafsi na kujiona wao ni zaidi ya wengine wote.
Kumchagua Mbowe ni kuifanya Chadema kuwa kigango cha CCM.
 
Kwa hio Makamu mwenyekiti wa Chadema sio kiongozi? Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi bungeni sio kiongozi,? Mbunge sio kiongozi? Mkurugenzi wa sheria na Katiba Chadema sio Kiongozi?
Kama Lissu hajawahi kuwa kiongozi,Chadema kuna mwanachama gani mwingine kwa sasa, mwenye Uzoefu wa uongozi ?
Ni UCHAWA umekufanya Uandike u hafu huu? Au ni Akili hauna?
Kazi zote ukizozitaja ni za kupiga domo. Hata Lusinde kibajaj au Baba Levo na Mwijaku wanaweza.

Uongozi ni kuwa mbele kuwapeleka watu kwenye dira unayoisimamia na kuwafanya watu watekeleze majukumu yao kwa ushawishi.

Huyu Lissu ni mtu wa kuropoka, matusi na kujifanya anajuwa kila kitu
 
Lissu hajawahi kuwa kiongozi wa Taasisi yoyote ile apart ya ofisi ya uwakil wake. Hana uwezo wala kipaji cha uongozi. Uongozi ni karama, kipaji na busara. Vyote hivi hana.

Freeman Mbowe anashinda uchaguzi huu asubuhi na mapema kwa zaidi ya kura 65%
Utapiga sana hizo ramli kwa vihela vidogo unavyolipwa visivoangalia kesho yako.

Unaongea mashudu hujui hata sasa Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa hiyo Chadema
 
Sema Mbowe na genge lake wametaka iwe hivyo. Vitendo vinaongea kuliko maneno. Vitendo vya kambi ya Mbowe vimeweka wazi hilo la kugawa pesa kama njugu kwa wajumbe.
Weka ushahidi. Ile video yenu feki sio ushahidi.

Amandla...
 
Kazi zote ukizozitaja ni za kupiga domo. Hata Lusinde kibajaj au Baba Levo na Mwijaku wanaweza.

Uongozi ni kuwa mbele kuwapeleka watu kwenye dira unayoisimamia na kuwafanya watu watekeleze majukumu yao kwa ushawishi.

Huyu Lissu ni mtu wa kuropoka, matusi na kujifanya anajuwa kila kitu
Kama ni kupiga domo tu basi na wewe domo si unalo piga tuone kama utafikia hadhi ya Lissu kwenye nchi hii.
 
Lisu ameongozana na wafuasi wengi ambao badala ya kushawishi wachaguliwe wanashawishi wanachama waamini kwamba Mbowe anatumia fedha.

Lakini najiuliza mbona uchaguzi wa mabaraza yote hakuna rushwa iliyoonekana wala kuthibitika? Nataka kujiuliza mjumbe aliyefutwa uongozi kwenye kanda yake alitegemea aje kupitishwa na kamati kuu?

Tusubiri washindwe tuone kama awajaungana na Msigwa kwenda CCM.....tatizo lao siyo uchaguzi bali ni maslahi binafsi na kujiona wao ni zaidi ya wengine wote.
 
Back
Top Bottom