Sikiliza , kama hoja ni uropokaji, sema ivyo lakini usiseme hajawahi kuwa kiongozi unless huelewi ulichokiandika. Napata mashaka sana na uelewa na uwezo wako wa Kupambanua mambo. Na kwa hoja yako hiyo, Chadema haina kiongozi au mtu mwenye sifa ya kuwa kiongozi kwenye nafasi yoyote zaidi ya Mbowe.