Wafuasi wa Magufuli mbona ni waoga hivi? Chukueni mfano kwa hawa

Wafuasi wa Magufuli mbona ni waoga hivi? Chukueni mfano kwa hawa

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Trump, Magufuli, Bolsonaro, Hawa ni marais 3 walioibuka na style zao za uongozi zilikuwa zinafana kwa kiasi fulani.

Walikuwa wakiamini wao ndio wakombozi wa nchi na wanajua kila kitu na viongozi wengine waliowatangulia walikuwa sio chochote.

Wafuasi wao nao wanafanana kwa kiasi kikubwa, wanaamini kuwa kiongozi wao ni mkombozi, hapendwi na system na system imehujumu kumuondoa madarakani kiongozi wao kwa njia zisizo halali.

Sasa wafuasi wa Trump na Bolsonaro baada ya kiongozi wao kuondolewa madarakani walipigana vikali dhidi ya system 'iliyowahujumu' walifanya maandamano makubwa Ikulu, Bungeni na Mahakama Kuu kuonyesha hasira zao.

Sasa wafuasi wa JPM kwa nini hawataki kuwa na ujasiri kama huu wa kuivaa system iliyomhujumu mkombozi wao?



Screenshot_20230109-094301.png
 

Magazeti ya Mabeberu yameanza chokochoko El País wamuita John Magufuli, the African Bolsonaro. Nini kipo nyuma ya tuhuma hizi ?​



 
Situlikubaliana kuwa jpm kafa mwaja wa pili sasa!?ebu stick kwenye ujinga na maboko anayopiga mama yako.kumuongelea jpm on negatives haifuti upuuzi na uozo uliopo chini ya mama yako. Chawa wewe
 
Situlikubaliana kuwa jpm kafa mwaja wa pili sasa!?ebu stick kwenye ujinga na maboko anayopiga mama yako.kumuongelea jpm on negatives haifuti upuuzi na uozo uliopo chini ya mama yako. Chawa wewe
Mimi nadhani watu waachwe waongee,wakumponda mama wamponde wakumsifia wamsigie,wakumponda JPM wamponde wakumsifia halikadhalika.

Mwisho wa msimu tutajua nani alisaidia Taifa nani alitupoteza.
 
Trump, Magufuli, Bolsonaro, Hawa ni marais 3 walioibuka na style zao za uongozi zilikuwa zinafana kwa kiasi fulani.

Walikuwa wakiamini wao ndio wakombozi wa nchi na wanajua kila kitu na viongozi wengine waliowatangulia walikuwa sio chochote...
Hao wote wako hai. Ni sahihi kuandamana.

Wafuasi wa JPM wanaandamana kwa ajili ya nani sasa?

Wanachokifanya ni kuhakikisha philosophy na legacy inalindwa na kazi alizozianzisha zinakamilika.
 
Hao wote wako hai. Ni sahihi kuandamana.

Wafuasi wa JPM wanaandamana kwa ajili ya nani sasa?

Wanachokifanya ni kuhakikisha philosophy na legacy inalindwa na kazi alizozianzisha zinakamilika.
Maandamano ya kuhakikisha legacy inalindwa, sio kelele mtandaoni tu
 
Magufuli gani huyo aliye kufa? Magufuli bado ana ishi kama uamini muulize mbowe na Rais Samia namna wanavyonpanga mikakati usiku na mchana jinsi ya kupigana na magufuli.

Rais Samia kesha kata tamaa ...kinana mwenyewe kesha kili kuwa magufuli ni jiwe na yeye amwezi ila ushauri wake aliompa sa100 aliukataa kwa sababu ya chuki ya sa100 dhidi ya UZALENDO NA WAZALENDO
 
Wao wapo, wanaonekana.
JPM 'yupo' lakini haonekani.
Tofauti ni kubwa.
Hata hivyo ipo siku watajitokeza. Huenda wanatafuta pa kuanzia
 
Trump, Magufuli, Bolsonaro, Hawa ni marais 3 walioibuka na style zao za uongozi zilikuwa zinafana kwa kiasi fulani.

Walikuwa wakiamini wao ndio wakombozi wa nchi na wanajua kila kitu na viongozi wengine waliowatangulia walikuwa sio chochote.

Wafuasi wao nao wanafanana kwa kiasi kikubwa, wanaamini kuwa kiongozi wao ni mkombozi, hapendwi na system na system imehujumu kumuondoa madarakani kiongozi wao kwa njia zisizo halali.

Sasa wafuasi wa Trump na Bolsonaro baada ya kiongozi wao kuondolewa madarakani walipigana vikali dhidi ya system 'iliyowahujumu' walifanya maandamano makubwa Ikulu, Bungeni na Mahakama Kuu kuonyesha hasira zao.

Sasa wafuasi wa JPM kwa nini hawataki kuwa na ujasiri kama huu wa kuivaa system iliyomhujumu mkombozi wao?



View attachment 2474827
Kwa hiyo unataka twende tukavamie makanisa na misikiti?

Kwa hiyo unataka tumpinge Mungu?

Kama kuna jambo mlimfanyia mzee wetu!

Mungu atawalipa taratibu!
 
Wanaona aibu hawaamini kwa jinsi wananchi walivyojaa furaha na amani wasiojulikana hatuwasikii tena
 
Wanaona aibu hawaamini kwa jinsi wananchi walivyojaa furaha na amani wasiojulikana hatuwasikii tena
Unajiongelea wewe kama wewe!

Hiyo furaha unayoiongelea ni ya wapigaji na sio wananchi!

Jitambue....
 
JPM ni akili kubwa, ni bahati mbaya tu alizaliwa kwenye nchi ya wajinga
 
Back
Top Bottom