Mkuu Ummy Mwalimu ni MTanga siyo Mzanzibar, katiba inasema makamu wa rais shart atoke Zanzibar
Tutamleta odinga aseme ni mjaluo wa Huko Tarime agombee.
Pasco wa humu JF alitabìri khs Magu.Watanzania kwa asilimia 100% hakuna aliye mtabiri JPM kukamata madaraka haya makubwa aliyo nayo....!!
Wengi tulimfikiria Lowassa na baadae B. Membe....
Hivyo kama ni Utabiri, ama ni ndoto umelala ukaota hivyo, ni bora mleta mada ukaendelea kulala tu, ili kuimarisha na pengine kufanya ndoto yako kuwa ya kweli...!!
Kila la kheri kwa wote ulio wataja kuongoza/kutuongoza kesho...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usishangae, hizi ndizo akili zetu za kitanzania hata tukiwekewa pazia tutalichagua kama litakuwa na green/yellow color!Acha ubabaishaji wewe! Kama kweli tupo serious na tunapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania basi mimi naona baada ya Magufuli rais ajae wa Tanzania yetu ni Mheshimiwa TUNDU ANTIPAS LISSU. Ni mzalendo, muwazi, jasiri, mwenye maono n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemwacha January Makamba na Mwigulu Mchemba uzi wako umepoteza mantiki!Nimeweka Kitu cha Kiutafiti, Kiuchambuzi na cha Kimkakati hasa wa Ushindi kwa CCM huo mwaka 2025. Hao wakiteuliwa na Chama kama nilivyoainisha hapo halafu wakajipanga kama nilivyopanga basi Tanzania itaendelea kufurahia Uongozi mzuri wa Chama Tawala ( Chama changu pia ) cha CCM kwani nawaamini 100% hao Watajwa na nawakubali mno. Ukiona hadi GENTAMYCINE anakukubali jua hata Mwenyezi Mungu ameshakuwekea tiki na amekukubali kwani Mimi ni Malaika wake wa Kutukuka kabisa hapa duniani.
Wakijilinda Kiafya na kuzidisha sana maombi yao ya Utendaji huku wakiwa waaminifu na wenye moyo hasa wa Kiuzalendo na Mapenzi ya dhati kabisa kwa nchi ya Tanzania basi wafuatao watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025
Rais Dkt. Hussein Mwinyi
Makamu wa Rais Jennister Mhagama
Waziri Mkuu Suleiman Jaffo
Endapo hao Watajwa hapo juu Mwenyezi Mungu hatotubariki kuwa nao hadi huo mwaka wa 2025 basi wafuatao wajiandae kuchukua nafasi zao endapo tu na Wao watalinda afya zao, kuzidisha maombi yao kwa Mwenyezi Mungu, wakiwa waaminifu hasa bila kusahau wawe Wazalendo wa kweli kwa nchi ya Tanzania basi watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025
Rais Professor Makame Mbarawa
[Makamu wa Rais Ummy Mwalimu
Waziri Mkuu Luhanga Mpina
Ombi kwa Watajwa hao hapo juu tafadhalini......
Ombi langu Kuntu kabisa kwa Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli juu ya hawa Watajwa ni kwamba.....
- Tunzeni afya zenu ( HILI NAOMBA MLIZANGITIE SANA )
- Jiheshimuni sana ( maisha ya Kihuni / Kisela / Kisanii sasa kaeni nayo mbali )
- Zidisheni uadilifu wenu
Kila la kheri na ni matumaini yangu makubwa Kwako Mheshimiwa Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli kuwa Mimi GENTAMYCINE nimekurahishia Kazi yako ya kuwakabidhi nchi akina nani hapo mwaka 2025 utakapong'atuka na hao ndiyo pekee watakaokufaa kwani wana uthubutu wa kupita mule mule ambako umepita Wewe na kuzidi kuiletea Maendeleo hii nchi yetu.
- Waamini sana hao niliowataja hapo juu
- Wazidishie Ulinzi wao kwani ndiyo Warithi wako wazuri na watarajiwa
- Wajenge zaidi hasa Kiitifaki
Nawasilisha.
Mtoa mada 2015 ulisemaga Raisi atakua PROF. MUHONGO mpk leo tumeachiwa manyoya tu
Mtabiri hahaha,nakuona mzee wa kushindilia maandishi.
Hii nayo umepenyezewa kutoka katika vyombo vyako?
Wrong!!Mkuu Ummy Mwalimu ni MTanga siyo Mzanzibar, katiba inasema makamu wa rais shart atoke Zanzibar
Mkuu unamuongelea huyu LISSU aliyesimama kuwatetea wazungu au mwingine!!Acha ubabaishaji wewe! Kama kweli tupo serious na tunapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania basi mimi naona baada ya Magufuli rais ajae wa Tanzania yetu ni Mheshimiwa TUNDU ANTIPAS LISSU. Ni mzalendo, muwazi, jasiri, mwenye maono n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Kana akili za kitoto mno
Mkuu mimi nimekuuliza sasa nashangaa unaniletea ngonjeraNyota yangu inakutesa na itakutesa sana Mkuu. Ondoa Kwanza hilo Vumbi lililopo katika Ubongo wako ili Akili zako zikukae sawa.
Umemwacha January Makamba na Mwigulu Mchemba uzi wako umepoteza mantiki!