Wafuatao wajiandae kumrithi Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025 tafadhali

Acha ubabaishaji wewe! Kama kweli tupo serious na tunapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania basi mimi naona baada ya Magufuli rais ajae wa Tanzania yetu ni Mheshimiwa TUNDU ANTIPAS LISSU. Ni mzalendo, muwazi, jasiri, mwenye maono n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Ummy Mwalimu ni MTanga siyo Mzanzibar, katiba inasema makamu wa rais shart atoke Zanzibar

Niwekee hapa hiyo Katiba ya CCM au ya nchi ambayo ina sehemu inayosema kuwa ni lazima kuwe na mabadilishano ya Uongozi kati ya Wazanzibara na Wazanzibari. Watanzania hebu acheni Kukariri jamani. Hivi mwaka 2005 Rais Mstaafu wa awamu wa Tatu Mzee Mkapa alipotoka Madarakani aliyemuachia Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mzee Kikwete alikuwa ni Mzanzibari?
 
Wakati unawaandika ulikuwa umefumba macho na brain!!! Maana wengine hapo kuwataja inahitaji moyo labda unaundugu nao na huwatakii mema watanzania.
 
Mtabiri hahaha,nakuona mzee wa kushindilia maandishi.
Hii nayo umepenyezewa kutoka katika vyombo vyako?
 
Pasco wa humu JF alitabìri khs Magu.
 
Mkuu usishangae, hizi ndizo akili zetu za kitanzania hata tukiwekewa pazia tutalichagua kama litakuwa na green/yellow color!
 
okay unamaanisha uchaguzi wa 2020 umeshafanyika na magu ameshinda
 
Umemwacha January Makamba na Mwigulu Mchemba uzi wako umepoteza mantiki!
 

Hapo kwenye red umeongelea rais au au makamu wa rais?
 
Mtoa mada 2015 ulisemaga Raisi atakua PROF. MUHONGO mpk leo tumeachiwa manyoya tu

Siko huko tena nimeshatoka sasa ni mwaka 2017 na nakuomba hapo hapo katika huo huo uzi uliousoma na kusema hivyo ulivyosema Wewe angalia tena uzi mwingine wa nini nilichokisema kuhusu Rais Dkt. Magufuli halafu niambie je kilitokea au hakijatokea? Tatizo lenu mnang'ang'ania huo uzi niliomtaja Waziri Professor Muhongo halafu ule uzi niliopatia wa kumhusu Rais Dr. Magufuli hamuutaji.

Endeleeni kupiga majungu yenu ila tambueni tu kwamba GENTAMYCINE ni ' Purely Talented and Charismatic Fella '. Kazi Kwako / Kwenu.
 
Mkuu Ummy Mwalimu ni MTanga siyo Mzanzibar, katiba inasema makamu wa rais shart atoke Zanzibar
Wrong!!

Katiba inataka iwapo Rais atatoka bara basi makamu atoke Visiwani and vice versa ............. Sasa Mbawara ni ZNZ wakati Ummy ni Bara. Hakuna tatizo hapo!! Ila Gentamycine anatulisha changa .....!!
 
Mkuu unamuongelea huyu LISSU aliyesimama kuwatetea wazungu au mwingine!!
 
Kana akili za kitoto mno

Nyota Kali ya ' Purely Talented and Charismatic Fella ' inakutesa sana Mkuu. Pole sana na kadri unavyozidi kuniandama ukidhani labda unanimaliza au unanipunguza Kasi yangu humu JF ambayo inakuumiza basi ndiyo Kwanza unazidi kunifanya nifuatiliwe, nipendwe na nikubalike na wengi.

Badala ya Kunichukia au kunionea Kijicho ungetumia tu muda wako uniulize ni kwanini nakubalika na naweza kuja na Threads ambazo zinawavuta Watu wengi hadi GENTAMYCINE sibanduki akilini na mioyoni mwao ili angalau na Wewe uoshe nyota.

Mwisho nikusihi tu Mkuu usiache Kunichukia au Kunifuatafuata humu JF kwani ni nyie mnaonichukia humu JF ndiyo mnanifanya kila siku nizidi tu kutafuta mbinu mpya za kuwazidi Kimaarifa na Kimkakati hadi mnaona leo nipo hivi huku nanyi mkiwa hivyo.
 
Umemwacha January Makamba na Mwigulu Mchemba uzi wako umepoteza mantiki!

Nisamehe na nikuombe sana radhi kwa kuwaacha hao wanaokuweka Mjini Mkuu. Usijali nitawaja siku si nyingi pale ambapo Baraza la Mawaziri litakapoenda kubadilishwa ambapo kuna uwezekano hao Wanaokuweka mjini wasiwepo tena ( nikimaanisha ) watabadilishwa. Stay tuned!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…