Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Karibuni[emoji120]
Ondoa Gwajima weka Hussein Mwinyi
 
Hivi wewe Rabbon seriously unategemea uandike masifa ya kijinga ya kumpamba Magufuli halafu tukae kimya? Kama wewe alikutendea vyema kumbuka kuna aliowatendea unyama. Lazima vyote viwekwe kwa mizania iliyo sawa ndiyo wasomaji wapime.
Ndomana nasema mawazo Yako yaheshimiwe Kwa kuwa unalazimisha tujadili sifa mbaya ambazo haikutajwa kwenye thread.

Mfano mzuri,Majambazi wa kutumia silaha walishughulikiwa ipasavyo katika utawala wake, SHERIA inasema jambazi akamatwe, anyanganywe silaha na afikishwe court.

Bt Magu alitumia shortcut ambayo Kwa wanademokrasia ni uvunjwaji wa SHERIA na HAKI za binadamu.

Kwa upande mmoja familia za waliokuwa majambazi waliouwawa, walihuzunika, lakini wakati huo huo wananchi wengi walifurahia matokeo hayo.

Hakuna uamuzi wowote usio na lawama upande Fulani.

Vipi hapo ndugu HUIHUI2?
 
Je Makonda
Huyo Si mzalendo, ni mwigizaji na msaka fursa.

Si muumini wa kulipa Kodi, Philip Mpango alikamata containers zake alizojaribu kuingiza pasi kulipa Kodi.

Ndomana Philip Mpango amekaa hapo juu Kwa sifa ya UZALENDO.

Mtu wa aina hiyo hawezi kuisaidia Nchi zaidi ya kuharibu.

Ninasema Kweli, na kawaida ya Kweli haijawahi kupinda!!
 
Huyo Si mzalendo, ni mwigizaji na msaka fursa.

Si muumini wa kulipa Kodi, Philip Mpango alikamata containers zake alizojaribu kuingiza pasi kulipa Kodi.
Je Makonda baada ya ma container yake kushikwa Magufuli alimchukulia hatua gani?

Kumbuka umesema wakwepa kodi wengine aliwatupa jela?

Kama hakumchukulia hatua basi UONGOZI wa Magufuli ulikuwa ni HORRIBLE wala si wa kuigwa.

Dunia hii siyo ya kuongozwa na madikteta.
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Gwaji boy dah!
 
Je Makonda baada ya ma container yake kushikwa Magufuli alimchukulia hatua gani?

Kumbuka umesema wakwepa kodi wengine aliwatupa jela?

Kama hakumchukulia hatua basi UONGOZI wa Magufuli ulikuwa ni HORRIBLE wala si wa kuigwa.

Dunia hii siyo ya kuongozwa na madikteta.
Aliyechukua hatua ya kuyazuia ni Mzalendo Philip Mpango.

Kodi ilipolipwa, yakaachiliwa.

Pia kumbuka, Magu haujadiliwi hapa, zinajadiliwa sifa njema 4 alizokuwa nazo Magu kuwahusisha watu 4 hapo juu.

Jikite kwenye mada.
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Ni Makonda tu hao wote uliowataja hawana mvuto hata kwenye hotuba zao. Makonda ndiye tegemeo pekee
 
Anaabudiwa Mungu,

Magu mzalendo anakumbukwa Kwa mema aliyoitendea nchi!!!

Na ajaye ni muhimu akawa na sifa 4 tajwa hapo juu.

Amen
Hakuna mema alifanya yule TAKATAKA zaidi ya kuleta mgawanyiko wa nchi ki makabila, kikanda na kiitikadi.

Mtu anasema kabisa kuwa hapa Tunduma mlichagua mbunge wa CHADEMA, kwa hiyo sileti miradi ya maendeleo. Na kumbuka Tunduma wanalipa kodi kama Chato.

Hilo DUBWASHA Mungu alilikataa ndiyo maana lilikufa likiwa madarakani baada ya kuiba kura zote za 2020 October.

Angekuwa mwema angeeendelea kuwa hai.

Watanzania jifunzeni kumuelewa Mungu na alama anazotupa. Magufuli alikuwa ni laana na alikuwa anaharibu utaifa wetu.

Mtu wa calibre ya Magufuli hatumtaki na hana nafasi kwa Tanzania ijayo
 
Hakuna mema alifanya yule TAKATAKA zaidi ya kuleta mgawanyiko wa nchi ki makabila, kikanda na kiitikadi.

Mtu anasema kabisa kuwa hapa Tunduma mlichagua mbunge wa CHADEMA, kwa hiyo sileti miradi ya maendeleo. Na kumbuka Tunduma wanalipa kodi kama Chato.

Hilo DUBWASHA Mungu alilikataa ndiyo maana lilikufa likiwa madarakani baada ya kuiba kura zote za 2020 October.

Angekuwa mwema angeeendelea kuwa hai.

Watanzania jifunzeni kumuelewa Mungu na alama anazotupa. Magufuli alikuwa ni laana na alikuwa anaharibu utaifa wetu.

Mtu wa calibre ya Magufuli hatumtaki na hana nafasi kwa Tanzania ijayo
Sitakujibu sababu unatutoa kwenye mada.

Ahsante Kwa mchango wako 🙏
 
Gwaji boy dah!
Ndiyo ujue kuwa mtoa thread Rabbon ana akili ya mende. Kweli tapeli wa Biblia Gwajima anamfikiria kwenye Urais wa Tanzania? Huyu hata ubunge wa Kawe mwaka 2025 hachukui form kwa sababu anajuwa hatakatiza. Halafu mpumbavu mmoja anaanzisha thread ya kuwa Gwajima ni presidential prospect. Rubbish
 
Back
Top Bottom