PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Mkuu hii azolla au ina jina jingine? Maana nimetafuta mbegu zake karibu mwezi mzima bila mafanikio. Nipo dar es salaam.
Mkuu jina ni hilo hilo na muonekano ni huo huo kama unavyoonekana kwenye picha,kwa kua uko dar hebu jaribu kumcheck huyu ndugu niliona ameweka tangazo anauza mbegu,ukifanikiwa fanya kuja kutupa mrejesho[emoji116]
Ndio hivyo mkuu ngoja tusubiri wafugaji wenzetu wanaoitumia watupe elimu.Asante mkuu,ngoja tuendelee kuisaka ilimu juu ya hii Azolla kwani inaonekana mkombozi kwetu sisis
Ngoja nimcheki nitawapa mrejesho.Mkuu jina ni hilo hilo na muonekano ni huo huo kama unavyoonekana kwenye picha,kwa kua uko dar hebu jaribu kumcheck huyu ndugu niliona ameweka tangazo anauza mbegu,ukifanikiwa fanya kuja kutupa mrejesho[emoji116]
[emoji106]Ngoja nimcheki nitawapa mrejesho.
Nenda baharini mkuuu ukingo vwa bahari utaona kijito cha maji Azola zimeota pembeni mimi mbegu nilichukua ufukwe wa rainbow (mbezi beach) madukani nilizunguka sana kutafuta.Mkuu hii azolla au ina jina jingine? Maana nimetafuta mbegu zake karibu mwezi mzima bila mafanikio. Nipo dar es salaam.
Nashukuru kwa ushauri huu. Nitaufanyia kazi. Pia inaonekana una uzoefu na hii kitu. Unaweza tusaidia hatua za kufanya. Kuanzia upandaji wake, matunzo pamoja na wastani wa kiasi kinacho weza kupatikana. NashukuruNenda baharini mkuuu ukingo vwa bahari utaona kijito cha maji Azola zimeota pembeni mimi mbegu nilichukua ufukwe wa rainbow (mbezi beach) madukani nilizunguka sana kutafuta.
ndio inafaa na ata kuilima kibiashara ina faida na haina process kwa kua inajizalia kama maguguAzola inafaa hata kwa mifugo ng'ombe,na je ukizalisha azola kibiashara ukauza kwa wenye mahitaji inalipa??
unapatikana wap
Sio mimi mkuu.... nimeikuta tu instagram nikasema niitume huku maana watu walikuwa wanauliziaunapatikana wap