emanuel prim
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 508
- 475
okSio mimi mkuu.... nimeikuta tu instagram nikasema niitume huku maana watu walikuwa wanaulizia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okSio mimi mkuu.... nimeikuta tu instagram nikasema niitume huku maana watu walikuwa wanaulizia
Yeah hii azolla ni nzuri sana na inapunguza gharama za chakula kwa asilimia kubwa sana, na utengenezaji wake ni rahisi kwa garama ndogoMimi ni mfugaji katika kutafuta njia za kupunguza gharama za chakula cha mifugo ndipo nilipokutana na maelezo kuhusu Azolla kwamba imewasaidia wafugaji wengi kupunguza gharama za chakula cha mifugo kwa asilimia kubwa nami nikaona nije kujadiliana na wafugaji wenzangu hapa ili tuweze kupatiana elimu juu ya mambo yafuatayo kuhusu Azolla.
1.upatikanaji wa mbegu
2.jinsi ya kuweza kuotesha
3.ulishaji wake kwa mifugo
Na mambo mengine muhimu juu ya hii Azolla
Hizi ni baadhi ya picha nilizipata kwa wafugaji wengine wanaotumia Azolla kulisha mifugo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwanza inapatikana, tuwasiliane au tembelea website yeti ya mwasenda.orgMkuu hii azolla au ina jina jingine? Maana nimetafuta mbegu zake karibu mwezi mzima bila mafanikio. Nipo dar es salaam.
Azolla kama uyoga, upo uyoga wenye sumu na uyoga wenye virutubisho. Azolla ya baharini ni sumu na ndiyo maana hata samaki hawaili. Ingekuwa haina sumu wala usingeikuta. Kumbuka kuna aina kama tisa za azolla. Endelea kudanganyana mje muwalishe mifugo vitu vya ajabu.Nashukuru kwa ushauri huu. Nitaufanyia kazi. Pia inaonekana una uzoefu na hii kitu. Unaweza tusaidia hatua za kufanya. Kuanzia upandaji wake, matunzo pamoja na wastani wa kiasi kinacho weza kupatikana. Nashukuru
mbona nasikia ikipigwa na juwa hufa na kujeuka rangi ya bwoun nikweli