Wafugaji: Tupeane elimu ya Azolla ili tupunguze gharama za chakula kwa mifugo

Yeah hii azolla ni nzuri sana na inapunguza gharama za chakula kwa asilimia kubwa sana, na utengenezaji wake ni rahisi kwa garama ndogo
 
Kwa ambao mko bagamoyo na maeneo jirani.....Ninayo azola ya kutosha kwa ajili ya mifugo yangu pia ninatoa maelekezo kuhusu azola na mbegu pia! 0654255175
 
Mkuu hii azolla au ina jina jingine? Maana nimetafuta mbegu zake karibu mwezi mzima bila mafanikio. Nipo dar es salaam.
Mwanza inapatikana, tuwasiliane au tembelea website yeti ya mwasenda.org
 
Nashukuru kwa ushauri huu. Nitaufanyia kazi. Pia inaonekana una uzoefu na hii kitu. Unaweza tusaidia hatua za kufanya. Kuanzia upandaji wake, matunzo pamoja na wastani wa kiasi kinacho weza kupatikana. Nashukuru
Azolla kama uyoga, upo uyoga wenye sumu na uyoga wenye virutubisho. Azolla ya baharini ni sumu na ndiyo maana hata samaki hawaili. Ingekuwa haina sumu wala usingeikuta. Kumbuka kuna aina kama tisa za azolla. Endelea kudanganyana mje muwalishe mifugo vitu vya ajabu.
 
haina madhara kiafya?? I mean kwa walaji wa nyama??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…