Codefucious
Member
- Aug 19, 2017
- 30
- 44
kama hutojali tuwekee picha hapa mkuu
Tatizo ukipost picha wapo watu wanachukuaga picha na kufanyia matangazo wao.. Mwisho wa siku unakuta mteja ambaye yupo serious anaziona picha kila sehem anajua na mmi tapeli..
Mkuu kwa ninavyofahamu jeshi letu lina pure breed za German sherpherd na Belgian malinois.Naomba kuuliza jamani hv na hawa waliopo ktk Geshi retu hiri ra Porisi nao ni Crossbreed au ni Pure???
Kuna mdau kapost hao Boerboel post # 344,hao mbwa kama ndama vile. Sasa mbwa wa kilo 90 sijui utamudu kumlisha ? Maana kwa ukubwa huo chakula kinaweza kuwa issue. On plus side mbwa wa size ile hata kama io mkali akikuangalia tu lazima ulale mbele.
Nimesoma hiyo breed ya Boerboel ni mbwa hatari sana na si vizuri kuwafuga kama huna uzoefu na mbwa.Naona kuna nchi nyingi sana zimewapiga marufuku.
Rushwa yake ingeshindikana,Neva trust police officerzMkuu kwa ninavyofahamu jeshi letu lina pure breed za German sherpherd na Belgian malinois.
Mkuu siunakuwa flexible hizi unazotuma hapa unachana Nazo huzitumii tena kwa mteja serious unamtumia nyingine tofauti...ni ushauri tu kama utafaa...kwa maoni yangu kufanya hivyo utajiwekea uaminifu zaidi hapaTatizo ukipost picha wapo watu wanachukuaga picha na kufanyia matangazo wao.. Mwisho wa siku unakuta mteja ambaye yupo serious anaziona picha kila sehem anajua na mmi tapeli..
Ni cross hao lakini unaweza kujionea mwenyewe walivyo good quality..Mkuu siunakuwa flexible hizi unazotuma hapa unachana Nazo huzitumii tena kwa mteja serious unamtumia nyingine tofauti...ni ushauri tu kama utafaa...kwa maoni yangu kufanya hivyo utajiwekea uaminifu zaidi hapa
Mkuu wala hakuna haraka,tunaelewa namna majukumu yalivyo mengi.naona bado nimetingwa, niwie radhi
Mengi umeeleza sawa isipokuwa GS ni kati ya breed mpya imeanzishwa mwishoni mwa 1800's hawana hata miaka 200 sasa wewe hiyo 1000 umeitoa wapi?Ni kweli tupu kuwa GS kachakachuliwa sana. Watu wengi wanaofuga GS hawana elimu hata kidogo kuhusu swala zima la uzalishaji GS.
GS anapandwa na jibwa dume lolote tu unategemea nini??
Kwa upande wangu nimeamua kuachana kabisa na GS nimeamua kufunga Belgian Malinois (BM).
Tofauti kubwa kati ya GS na BM ni umbo la mwili tu na miguu ya nyuma.
BM wana mwili mdogo na miguu ya nyuma iko sawa na ya mbele, kwa hiyo wako na umbo la square.
Sifa ya BM:
-Highly intelligent
-More active kuliko GS
-More energetic than GS
-More agile than GS
-Wavumilivu wa magonjwa
-Low cost maintainance
-Hawachoki kwenye mituringa
-Wako sharp mno
-Walinzi wazuri mno.
-Siyo wazuri ukiwa na watoto wadogo, hapa ndo mahali pekee anapo shine GS. GS yuko friendly sana na watoto.
-BM wanatumiwa na wajeshi zaidi sababu ni wepesi kubebeka na wanajeshi wakiwa wanaruka na parachuti zao. GS mzito mno ndo maana anatumiwa na polisi zaidi.
Swala zima la ulinzi linahitaji mbwa wa kukuamusha zaidi kuliko kung’ata. Mbwa anayebweka akiona adui hana tofauti na Security alarm.
GS yupo dunia zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ndo maana kachakachuliwe ile mbaya hasa na hawa waswahili wasiozingatia qualities za ku breed mbwa.
Nina mengi ya kusema ila niishie hapa kwa mwezi huu.
GS nawahurumia sana, siyo pure GS tena ila ni GSKOKO.
Wenye pure GS ni wachache mno sehemu kubwa ni kudanganyana tu.
Mengi umeeleza sawa isipokuwa GS ni kati ya breed mpya imeanzishwa mwishoni mwa 1800's hawana hata miaka 200 sasa wewe hiyo 1000 umeitoa wapi?
Kingine watu wengi hawaelewi kuwa kuna GSD show line na GSD working line, kama uta concentrate on looks, you will end up buying a show line GS kwa ajili ya ulinzi.
nimewahi kusema kwenye huu uzi kuhusu the first GSD pamoja na mambo mengine hakuwa na miguu ya nyuma mifupi kiivo, he had almost a flat back, na hiyo ndio sifa ya working line GSD until now.
Breeders wa show line GSD have through years made show line GSD look like they are today.
@tundapori
BM breed ilikuwa created Mwaka 1892 around the same the same time GS breed ilikuwa created so hoja ya muda haina mashiko.Ukweli unabakia pale pale kuwa GS yupo duniani miaka mingi na amechakachuliwa kishenzi.