Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Hakuna komando wa njaa.
 
Hatari sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20230110-105748_Lite.jpg
    105.6 KB · Views: 53
Ni link nae mkuu, nahitaji huyu kiumbe
0786 959 856
Huyu jamaa anaitwa Edwin Sarungi.
Yupo Tabora ni mfugaji bora sana wa mbwa.

Mwambie hii namba umepewa na jamaa toka Arusha.
Atakusaidia kukuunga na wafuga mbwa wa Mwanza, jamaa ana mtandao mkubwa.

Kuhusu mfugaji wa Mwanza nimepoteza mawasiliano but ni mangi flani anauza mbwa bei kubwa sana hadi 5m but ni mbwa mbwa kweli
 
Ivi haha ma mbwa NI yamungu kweli au mi utashi WA mwanadamu maana utakuta umbwa lipo ma Sura kama Simba,dubu,chuo,umbwa mwitu mengine body inakuankama ya mbuzi flani yaani NI mbwa ila anafanana na mnyama flan ivi WA porini ebu nisanueni kidogo apo
 
Bongo wapo kweli mkuu hao Malamute?
Mkuu hizo species ni ngumu kuzipata. Juzi hapa kuna jamaa yangu alitaka kununua katoto ka Cane Corso, bei yake tu ni over USD2500 halafu bado hujalipia mambo kibao kama vibali, usafiri n.k

Nadhani kama mtu ana mtaji akaweza ku breed species mbalimbali hapa bongo anaweza kupiga hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…