Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Habari wakuu.
Mimi ni mraibu mkubwa wa hawa viumbe sio kuwala ila napenda tu kuwatazama. Kuwala kwa kweli kuwachinja huwa nawaonea huruma, najikuta nashindwa.
Kuna rangi nimeiona nikaipenda nataka kujua ni cross njiwa wa aina gani na aina gani ili nipate hii mbegu.
Niliwahi kujaribu kucross Adidas na chokileti akapatikana kijivu tu. Bila hiyo rangi nyeupe hapo.
Mimi ni mraibu mkubwa wa hawa viumbe sio kuwala ila napenda tu kuwatazama. Kuwala kwa kweli kuwachinja huwa nawaonea huruma, najikuta nashindwa.
Kuna rangi nimeiona nikaipenda nataka kujua ni cross njiwa wa aina gani na aina gani ili nipate hii mbegu.
Niliwahi kujaribu kucross Adidas na chokileti akapatikana kijivu tu. Bila hiyo rangi nyeupe hapo.