[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna njiwa mmoja nilikuanae jogoo, huyu alikua msubufu sana.....
Alikua anapeleka moto iwe asubuhi, mchana, jioni hata nikiwa nimetulia home na wageni. Basi last week palikua na jumuiya pale home, yaani haangalii hata msalaba ulikuepo nyumbani basi awe na adabu. Basi nikaona nimchinje tu maana ananitia aibu hata nikiwa na wageni yeanapeleka moto tu
Njiwa wastaarabu mkuu. Kwanza kupandana mara nyingi batini huko. Na wakiwa wawili tu mara nyingi maana huwa wanaoneana wivu mwingine akiona wanapanadana anaenda kuharibu.Kuna njiwa mmoja nilikuanae jogoo, huyu alikua msubufu sana.....
Alikua anapeleka moto iwe asubuhi, mchana, jioni hata nikiwa nimetulia home na wageni. Basi last week palikua na jumuiya pale home, yaani haangalii hata msalaba ulikuepo nyumbani basi awe na adabu. Basi nikaona nimchinje tu maana ananitia aibu hata nikiwa na wageni yeanapeleka moto tu
Ulifuga wangapi?Nilifuga wakakimbia wote sijui nilikosea wapi
Nilifuga wakakimbia wote sijui nilikosea wapi
Hawapendi Njaa, Hawapendi Vurugu, hawapendi Makelele, Maugomvi, hawapendi walevi, hawapendi waganga! Jitathmini hapoNilifuga wakakimbia wote sijui nilikosea wapi
Ni kweli. Pia Njiwa hapendi wapiga ramli na vigoma vya kuagua mapepoNjiwa hakai Kwa mtu mwenye roho mbaya
Rahisi sana mkuu ntakutafutaLahore???
Laki moja pair
Mkuu unafugia wapi. Naweza kupata mbegu?Habari wakuu.
Mimi ni mraibu mkubwa wa hawa viumbe sio kuwala ila napenda tu kuwatazama. Kuwala kwa kweli kuwachinja huwa nawaonea huruma, najikuta nashindwa.
Kuna rangi nimeiona nikaipenda nataka kujua ni cross njiwa wa aina gani na aina gani ili nipate hii mbegu.
Niliwahi kujaribu kucross Adidas na chokileti akapatikana kijivu tu. Bila hiyo rangi nyeupe hapo.
View attachment 2616386