Wafugaji Wa Sungura ni swala la Masoko

Wafugaji Wa Sungura ni swala la Masoko

Natafuta watoto wa sungura!!

Wawe wenye umri uliozid miezi 3

Idadi kubwa sana

Naombeni mwenye connection
 
Hahahahahah nimeanza na sungura watatu nillihamasika na nyama yake aisee tamu sana ya kuku ikasubiri.

Nataka niwaongeze wawe atleast 10 (nawanunua) majike saba na madume 3.

Mahali niliko wanapatikana bei nafuu sana
Hebu nipe 5zako za jinsi unavyofuga?? Ndabi ya Banda ama huria
 
Chakula cha sungura ni nn ukiondoa majani ya michunga yale?
 
watanzania tunajua nyama ni ng'ombe tu ishu ya sungura ni pana sana mikojo ni dawa na mbolea tosha sana kwenya mazao ya kilimo
 
M
Nimeanza kufuga sungura just for nyama tu nimeanza na mmoja nataka wawe wengi by mwisho wa mwaka niwe nao hata 50
Mrejesho mkuu,
Mwaka Sasa umepita
Namii nataka nianze kufuga naomba unipe muongozo uhus kanuni za ufugaji ,chakula,chanjo , Banda
 
Back
Top Bottom