Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
#HABARI:
View: https://www.facebook.com/itvtz/videos/1591165991754927/
Baadhi ya wafugaji jamii wa Wamang'ati pamoja na Wasukuma wanaoishi katika Kitongoji cha Nangorokoro, wilayani Liwale, mkoani Lindi, wamesema hawatamzika mfugaji mwenzao Nyerere Mekaba mwenye umri wa miaka 17 anayedaiwa kuuawa na Askari Polisi kwa kupigwa risasi mgongoni na kutokea tumboni Oktoba 9, 2024, mpaka pale Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni, pamoja na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega watakapofika kitongoji hicho kutoa tamko la Serikali juu ya askari aliyefanya mauaji ya kijana huyo.
Nchi imeendelea kuwa ya kihuni kweli!
View: https://www.facebook.com/itvtz/videos/1591165991754927/
Baadhi ya wafugaji jamii wa Wamang'ati pamoja na Wasukuma wanaoishi katika Kitongoji cha Nangorokoro, wilayani Liwale, mkoani Lindi, wamesema hawatamzika mfugaji mwenzao Nyerere Mekaba mwenye umri wa miaka 17 anayedaiwa kuuawa na Askari Polisi kwa kupigwa risasi mgongoni na kutokea tumboni Oktoba 9, 2024, mpaka pale Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni, pamoja na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega watakapofika kitongoji hicho kutoa tamko la Serikali juu ya askari aliyefanya mauaji ya kijana huyo.
Nchi imeendelea kuwa ya kihuni kweli!