Wafungaji bora Africa,Meddie Kagere aongoza

Ina maana huyo kikongwe ndiye anayeongoza kwa kufunga magoli mengi Africa? huo itakua ni mtandao wa mikia tu.
Alisikika mlevi mmoja akisema
 
Hiyo list Itakuwa imenunuliwa na simba,haiwezekani Yanga isiwemo....
 
Rage hakukosea kuwaita Mikia Mbumbumbu hesabu zinaruka kutoka 18 mpaka 16.
Jinga la mwisho ni wewe, sasa mjinga hiyo orodha ni ya wafungaji wanao ongoza kila nchi hawashindani kuorodhesha magoli toka moja hadi Mia moja jinga kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…