Wafungulieni wajumbe wapate hewa hata kidogo jamani!

Wafungulieni wajumbe wapate hewa hata kidogo jamani!

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Yaani mambo mengine ni ya kikuda sana.

Wajumbe ambao ni wapiga kura wa kesho wanalalamika vyumba walivyofungiwa ni vidogo sana hivyo hewa haipiti na kupelekea kuwa na joko kaki sana. Na bahati mbaya kuna giza nene kwenye vyumba hivyo baada ya umeme kuwa umekatika.

Pia wanahoji kwanini hawapohuru na simu zao.

Mjumbe mmoja mwenye pumu alisikika akisema "nakufa nakufa nifungulie japo kidogo nikapate hewa nje". Ila alisikitishwa na jibu. Lililotoka gizani "komaa kamanda".

Alaaaaaaaah!
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana kwenye dunia hii!
CCM watatawala kwa muda mrefu sana kwa sababu hawana mpinzani mwenye nia ya kukamata dola,vyama vya upinzani vimebaki kuwa vi NGO vya kutafutia hela ya kula tu kwa baadhi ya watu ili siku ziende basi.
 
Yaani mambo mengine ni ya kikuda sana.

Wajumbe ambao ni wapiga kura wa kesho wanalalamika vyumba walivyofungiwa ni vidogo sana hivyo hewa haipiti na kupelekea kuwa na joko kaki sana. Na bahati mbaya kuna giza nene kwenye vyumba hivyo baada ya umeme kuwa umekatika.

Pia wanahoji kwanini hawapohuru na simu zao.

Mjumbe mmoja mwenye pumu alisikika akisema "nakufa nakufa nifungulie japo kidogo nikapate hewa nje". Ila alisikitishwa na jibu. Lililotoka gizani "komaa kamanda".

Alaaaaaaaah!
Timu Lisu ni watu wabaya sana
 
Yaani mambo mengine ni ya kikuda sana.

Wajumbe ambao ni wapiga kura wa kesho wanalalamika vyumba walivyofungiwa ni vidogo sana hivyo hewa haipiti na kupelekea kuwa na joko kaki sana. Na bahati mbaya kuna giza nene kwenye vyumba hivyo baada ya umeme kuwa umekatika.

Pia wanahoji kwanini hawapohuru na simu zao.

Mjumbe mmoja mwenye pumu alisikika akisema "nakufa nakufa nifungulie japo kidogo nikapate hewa nje". Ila alisikitishwa na jibu. Lililotoka gizani "komaa kamanda".

Alaaaaaaaah!
wengine ndio wanafunguliwa muda huu na Lema,

walifungiwa tangu jana walipomaliza press conference na Lema eti ndio wamefuata vitambulisho muda huu zoezi ambalo lilifungwa tangu saa 10 jioni 🐒
 
wengine ndio wanafunguliwa muda huu na Lema,

walifungiwa tangu jana walipomaliza press conference na Lema eti ndio wamefuata vitambulisho muda huu zoezi ambalo lilifungwa tangu saa 10 jioni 🐒
Yaani zoezi lifungwe saa 10 huku wengine hawana vitambulisho?
Mbowe = ccm
 
Yaani zoezi lifungwe saa 10 huku wengine hawana vitambulisho?
Mbowe = ccm
kikanuni zoezi la usajili na utoaji wa vitambulisho ni sharti ukamilike siku moja kabla ya siku ya uchaguzi.

Wajumbe wamekuja tangu juzi,
lema kafanya nao na press conference na kisha akaenda kuwafungia gesti house huko tandika na buza,

usiku huu ndio wanakuja kudai vitambulisho kweli lema?🐒
 
Wajumbe kama mkimchagua Mbowe mtu ambaye ameungana na watesi wetu mjue damu za watu hawa zitawalilia siku zote za maisha yenu,kama hela mumechukua sawa ila kura msimpe mkimpa kura ni sawa na kunywa damu za watu hawa
 

Attachments

  • FB_IMG_1737358302587.jpg
    FB_IMG_1737358302587.jpg
    43.6 KB · Views: 2
  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom