Wafungwa wafika bei, kwa hiyo watafungwa 4 na tatu ni za manywele

Wafungwa wafika bei, kwa hiyo watafungwa 4 na tatu ni za manywele

Mchongo mzima tayari tumeupata na mtu anakufa 4 .

Huu ni mwendelezo wa michezo ya kuigiza ambayo kwa kiasi kikubwa inawezeshwa na watu wanaojulikana kuumiza uchumi wa nchi hii.

Kila la heri nadhani sasa hivi ni kutengeza rekodi za mchongo hadi Afrika ijue
Dah
 
Nachojua mimi Yanga haina hiyo quality inayoimbwa mitandaoni kila kukicha,bali zinatengenezwa data za kupikwa ili ivutie wawekezaji!,ndio maana inapokuja nje ya Tanzania maji yanajitenga na mafuta
 
Nachojua mimi Yanga haina hiyo quality inayoimbwa mitandaoni kila kukicha,bali zinatengenezwa data za kupikwa ili ivutie wawekezaji!,ndio maana inapokuja nje ya Tanzania maji yanajitenga na mafuta
Unacho jua wewe
 
User name ni kama unatamani tukutambue na ka usomi uchwara fulani,lakini tatizo ukiwa utopolo akili huwa hakuna unatangaza ujinga wako hata kwenye id yako
Hasira za nini bibie?? Punguza ghadhabu halafu jifunze kutofautisha utani wa kimchezo na kushambulia mtu kibinafsi.

Nilikuwa sijui kuwa kuna kutamanishana kutambuana kiusomi humu, maana hunijui sikujui sasa sijui elimu yangu imeingiaje katika utani wa Simba na Yanga. Halafu simu yangu, bundle langu wewe ni nani hasa mpaka nijali kama unanitambua au la??

Endelea kusomea unesi wako uje kusafisha vidonda acha ushabiki wa mpira ambao ni wazi huuwezi maana unaleta personal attacks na chuki.

Maisha mafupi mno kuchukulia kila kitu serious.
Unless huwa unalawitiwa kupelekea comment yangu kutonesha kidonda.

Siku zote huchukua mjinga mmoja kumtambua mwingine. Hivyo mjinga mwenzangu umenitambua.
 
We ni mpumbavu

Yanga akishinda kanunua Ila simba akishinda uwezo.

Hivi toka 2019 simba kapewa kiasi gani na yanga ili awe anafumuliwa Malinda tu?
Toka 2019 Simba hajawahi mfunga yanga? Kumbe Simba mazuzu
 
eeh MAKOLO malalamiko mmezidi c mngeenda FIFA hizi kelele humu zinasaidia nn?umbwa mmoja mla ugali kachumbari umeshashiba unaropoka,wewe ujue Yanga ananunua mechi babra na try again wasijue kweli...km umbwa wewe unajua Yanga ananunua mechi viongozi wako pia wangejua na wangepeleka mchongo mezani FIFA Yanga ingeshushwa daraja kwanini msifasnye ivyo mpate faida?

Kwa maisha hayo mliyojizoesha siku hizi ubingwa nyie sahauni atleast kwa misimu km saba hv na msimu huu mnamaliza ligi nafasi ya 3 au 4 mpk siku mtakapoamka na kujua mna matatizo na mnahitaji kuyatatua wenyewe na sio kulalamika km mwanamke kanyimwa kodi ya meza
Dem hizi shughuli za kiume tuachie wanaume wenyewe, sawasawa?
 
Nyie mkifungwa inakua mpira una matokeo matatu,
Wengine wakifungwa inakua ni magoli ya mchongo.

Tatizo boss wenu anadhamini sana timu pinzani ndo mana watu wana doubts na gsm!!...namungo,coastal,singida,prison wote hao wanavaa chapa gsm ..hapo fair play iko wapi,??
 
Tatizo boss wenu anadhamini sana timu pinzani ndo mana watu wana doubts na gsm!!...namungo,coastal,singida,prison wote hao wanavaa chapa gsm ..hapo fair play iko wapi,??
Simba hamvai chapa gsm ila mmefungwa na yanga.
Je simba mmepokea bahasha??
 
Tatizo boss wenu anadhamini sana timu pinzani ndo mana watu wana doubts na gsm!!...namungo,coastal,singida,prison wote hao wanavaa chapa gsm ..hapo fair play iko wapi,??
vipi Azam aliedhamimi vilabu vyote na anapa pesa?
 
Hasira za nini bibie?? Punguza ghadhabu halafu jifunze kutofautisha utani wa kimchezo na kushambulia mtu kibinafsi.

Nilikuwa sijui kuwa kuna kutamanishana kutambuana kiusomi humu, maana hunijui sikujui sasa sijui elimu yangu imeingiaje katika utani wa Simba na Yanga. Halafu simu yangu, bundle langu wewe ni nani hasa mpaka nijali kama unanitambua au la??

Endelea kusomea unesi wako uje kusafisha vidonda acha ushabiki wa mpira ambao ni wazi huuwezi maana unaleta personal attacks na chuki.

Maisha mafupi mno kuchukulia kila kitu serious.
Unless huwa unalawitiwa kupelekea comment yangu kutonesha kidonda.

Siku zote huchukua mjinga mmoja kumtambua mwingine. Hivyo mjinga mwenzangu umenitambua.
Unateswa na historia yako!Saikolojia yako imeshaarika na kilichoujaza moyo wako.
Mara zote mtu hutukana kile anachofanyiwa ama kufanya mwenyewe
 
Unateswa na historia yako!Saikolojia yako imeshaarika na kilichoujaza moyo wako.
Mara zote mtu hutukana kile anachofanyiwa ama kufanya mwenyewe
Nani zaidi wa kujua historia na saikolojia yangu zaidi yako wewe niliekutoa utepe wa kalio.
 
We ni mpumbavu

Yanga akishinda kanunua Ila simba akishinda uwezo.

Hivi toka 2019 simba kapewa kiasi gani na yanga ili awe anafumuliwa Malinda tu?
Hili swali linapima uwezo wa kufikiri kwa watz wengi.Wengi wanakwepa kulijibu
 
Mchongo mzima tayari tumeupata na mtu anakufa 4 .

Huu ni mwendelezo wa michezo ya kuigiza ambayo kwa kiasi kikubwa inawezeshwa na watu wanaojulikana kuumiza uchumi wa nchi hii.

Kila la heri nadhani sasa hivi ni kutengeza rekodi za mchongo hadi Afrika ijue
Naona mnacheza na ndugu zenu, nyie wenzetu mnakubaliana tu kama mlivyo kubaliana kwa Mgunda.
 
Mchongo mzima tayari tumeupata na mtu anakufa 4 .

Huu ni mwendelezo wa michezo ya kuigiza ambayo kwa kiasi kikubwa inawezeshwa na watu wanaojulikana kuumiza uchumi wa nchi hii.

Kila la heri nadhani sasa hivi ni kutengeza rekodi za mchongo hadi Afrika ijue
Yanga watachukua ubingwa miaka 10 mfurulizo kama mtaendelea kujidanganya na hizi ngonjera unaona kabisa timu yako mbovu akikosekana mchezaji mmoja inakua msiba ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom