Wafungwa wafika bei, kwa hiyo watafungwa 4 na tatu ni za manywele

vipi Azam aliedhamimi vilabu vyote na anapa pesa?

Azam kanunua haki ya matangazo ya ligi acha ujinga mzee,we unaona kuna timu tofauti na azam inavaa chapa ya azam??
 
Azam kanunua haki ya matangazo ya ligi acha ujinga mzee,we unaona kuna timu tofauti na azam inavaa chapa ya azam??
haki za matangazo sio udhamini? wewe ni kilaza bahati mbaya hujitambui
 
haki za matangazo sio udhamini? wewe ni kilaza bahati mbaya hujitambui

Kwa hyo unataka kusema azam wameingia mkataba na timu zote 16 au wameingia mkataba na bodi ya ligi????Ukijibu hili swali utajua kuwa azam wamedhimini ligi na sio timu ..(kama una akili lakini)
 
Mechi za simba sasa zinakosa mvuto yaani wanatafuta kila sababu ili washinde...kulazimisha penati..
Ila wao mara kwa mara onyango anacheza fauls za wazi kabisa ndani ya box anaangusha mtu refa anapeta

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…