DodomaTZ
Member
- May 20, 2022
- 84
- 118
Raia wakigeni kutoka nchini Ethiopia waliomaliza vifungo vyao katika gereza la mkono wa Mara mkoani Morogoro wamekwama kurejea makwao baada ya kukosa msaada wa kusafirishwa.
Mkuu wa gereza la Mkono wa Mara mkoani Morogoro, TADEO MGALLA amesema raia hao ambao walimaliza vifungo vyao tangu mwaka 2019 wamekuwa wakiigharimu Serikali kwa kuwa awazalishi chochote gerezani hapo.
Mkuu wa gereza la Mkono wa Mara mkoani Morogoro, TADEO MGALLA amesema raia hao ambao walimaliza vifungo vyao tangu mwaka 2019 wamekuwa wakiigharimu Serikali kwa kuwa awazalishi chochote gerezani hapo.