Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Jamaa yangu aliuliuzwa tu na jaji je unaijua njia ya kwenda kwako? Akasema ndio akaambiwa ondoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania naomba unyamaze tu.ndio maana gerezani Siri anaijua mfungwaHivi mfano mtu akihukumiwa akiwa mjamzito labda 2 months na kuendelea treatment yao huwa ipoje gerezani !! Na akijifungua mtoto anatunzwa vipi maana tunajua mama mjamzito au aliyejifungua anahitahi uangalizi wa karibu.
Je huyo mtoto ataishi gerezani na mama ?
Walioachiwa na Magufuli, waliokuwa wamefungwa maisha au kunyongwa, wengi walirudi gerezani, wengine wakauawa na wananchi, wachache ndo wapoBaada ya kumaliza process zote za mule ndani ikiwemo kupewa vitu vyake alivyoingia navyo kwa maana ya nguo, viatu, kama alikua na big g au pipi mfukoni atavikuta, kama fedha atakabidhiwa....
Lango litafunguliwa askari watamuaga kwa bashasha huku wanamtania na hata wengine kumpa namba zao (hapa inategemea na anayeachiwa kama anajiweza au kapuku) atamkuta mtu/watu waliokuja kumpokea....
Kama hana atatembea mwenyewe kituoni apande bus la kuelekea anapopajua na kama hana fedha na aliishi na wenzie vizuri huko jela ikiwemo askari watampatia nauli ya kumfikisha kwake/kwao....
Kama hana ndugu basi ndio atayaanza maisha ya mtaani rasmi au ataenda nyumba za ibada kuomba msaada au itabidi afanye kosa jipya fasta ili arudi zake jela, kulala bure, kula bure.
Mbona magereza yana minimarkets siki hiziKuna dogo tulikuwa naye kitaa alikuwa anasisitiza sana kuwa kule hakufai lakini alikuwa hamalizi mwaka lazima arudi, mara ya mwisho alienda kupiga tukio jeshi la polisi likamtoa kwenye mashindano.
Kweli, wafungwa watumike kujenga madarasa etcInatakiwa magereza zibinafishwe zitumike kama sehemu za uzalishaji wafungwa pesa zao watunziwe wakimaliza kifungo wanapewa mtaji
Ukinyoosha mkono huhamishwiKuna wale wanaohamishwa hamishwa magereza hapo kutembelewa na ndugu ni mziki.
Mimi ninakuambia kwa kuwa nishaona sio mara moja wewe endelea kuwa period tuPunguza ujuaji kwenye vitu serious,
Wakupe nauli wewe uliwapa nini labda.
Atapata tu special food kama watu wa HIV na TB hua wana special food yao japo haina sana utofauti na chakula cha wengine, akijifungua atakaa na mtoto kwa miezi mitatu/sita ndugu zake wataambiwa wamchukue kama hana ndugu basi atakomaa nae nadhani hadi miaka miwili atapelekwa ustawi wa jamii au kuna askari hua wanawachukua kuwalea (hii ni kwa mapenzi na makubaliano baina yao)Hivi mfano mtu akihukumiwa akiwa mjamzito labda 2 months na kuendelea treatment yao huwa ipoje gerezani !! Na akijifungua mtoto anatunzwa vipi maana tunajua mama mjamzito au aliyejifungua anahitahi uangalizi wa karibu.
Je huyo mtoto ataishi gerezani na mama ?
Period hata mama ako aliingia ndio maana ukazalika, watu mna stress sana sijui ndio ushoga mnatafuta attentions za mabasha [emoji848]Mimi ninakuambia kwa kuwa nishaona sio mara moja wewe endelea kuwa period tu
Waliofungwa vifungo virefu wengi wakiachiwa ramani inakua ishapotea, wengine wameshasahaulika na ndugu zao, wanaona bora kurudi jela kusubiri kifo au wanarudi kwenye mishe zao wanadakwa wanapigwa kiberiti,Walioachiwa na Magufuli, waliokuwa wamefungwa maisha au kunyongwa, wengi walirudi gerezani, wengine wakauawa na wananchi, wachache ndo wapo
Sio salama kweli aseee, maana mtoto anahitaji uangalizi wa karibu !! Tatizo magereza yetu hayaendelezwi yamejengwa vile vile kikoloni sana ! Ilibidi mtu akiwa na hali kama hiyo atengwe kabisa na wengine !!!Atapata tu special food kama watu wa HIV na TB hua wana special food yao japo haina sana utofauti na chakula cha wengine, akijifungua atakaa na mtoto kwa miezi mitatu/sita ndugu zake wataambiwa wamchukue kama hana ndugu basi atakomaa nae nadhani hadi miaka miwili atapelekwa ustawi wa jamii au kuna askari hua wanawachukua kuwalea (hii ni kwa mapenzi na makubaliano baina yao)
Mule sio sehemu salama kulea mtoto.
Je kama unakaa jirani na jela bado unapewa tu nauli?Acha uongo wewe huwa wanapewa nauli
Wanaachiwa baada ya kusaini documents za kuachiwa na wanaenda kuzisaini magereza sio Mahakamani pale akisomewa hukumu kua ameachiwa huru ataambatana na Bwana jela Askari magereza kwenye ngarangara na wafungwa na mahabusu wengine mpaka magereza kule ataenda kuaga wafungwa wenzake na mahabusu kisha kurudisha na kuchukua vinavyomhusu kisha anasaini fomu ya kuachwa huru inayobaki km record huko magerezaAu wanafunguliwa mlango na kuambiwa haya nenda uko huru? Wenye uzoefu na HILI watusaidie! Hasa wale waliofungwa vifungo virefu.
Kutengwa ni ngumu kwa magereza zetu hizi tena watu walivyovurugwa huko hakuna mtu anajali,Sio salama kweli aseee, maana mtoto anahitaji uangalizi wa karibu !! Tatizo magereza yetu hayaendelezwi yamejengwa vile vile kikoloni sana ! Ilibidi mtu akiwa na hali kama hiyo atengwe kabisa na wengine !!!
Kuna michakato huanza mwezi ama wiki mmoja kablaHivi wafungwa wanaomaliza vifungo vyao huwa wanaachiwaje? Je wanapewa nauli? Na hela ya kuanzia maisha? Au wanafunguliwa mlango na kuambiwa haya nenda uko huru? Wenye uzoefu na HILI watusaidie! Hasa wale waliofungwa vifungo virefu.
Hizi ni mimba za maaskari sasa na Bwana Jela au huwa kuna magereza wanachanganywa wafungwa wa kike na wa kiume ? Halafu muhuni anakana mtotoKutengwa ni ngumu kwa magereza zetu hizi tena watu walivyovurugwa huko hakuna mtu anajali,
Kuna wengine wanaingia wazima, wanapatia mimba humo humo ndani, jiulize how [emoji28]
Kuna wale wenye namba ndefu hivyo mpaka kumaliza kifungo anaweza akarotate magereza kadhaa akitumikia adhabu. So ikitokea kapata msamaha wa Rais atachomokea kulekule alipo. Kwakuwa bwana jela anakuwa na faili lake so atampa release note na warrant itasoma mpaka destination makwao.Nafikiri tarehe ya kutoka inajulikana hivyo ni kukumbusha ndugu, jamaa na marafiki
Si kila alifungwa amtelekezwa, wapo wenye ndugu wa kuwatembelea na kufwatilia taarifa za wapendwa wao huko jela