Waganda hii sasa misifa

Waganda hii sasa misifa

Manofu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1,317
Reaction score
2,020
Ebwana heee!! Awajama wanapenda sifa bwana kama mnavyojuwa timu yao ya taifa imeishafuzu kwa point 13 kiasi kwamba ata tukishinda au lesotho kushinda atuwezi isogelea kileleni ata kidogo.

Ajabu sasa timu imeweka kambi misri nakama haitoshi wamecheza na mechi ya kirafiki yani utafikili wanakwenda kucheza mechi ya ufunguzi world cup.

Leo sasa nikiwa mpakani mtukula jamaa wamekodi basi nne za friends full bendera ya taifa full vuvuzela eti wanakuja dar kushangilia timu.Sasa najiuliza hii mijamaa inamalengo gani na sisi mpaka watufanyie hivi? au labda kunasehemu tuliwakwaza tukawaombe samahani ata kesho kabla ya mechi?.
 
Hakika ni kwamba, watafungwa, sasa wanajitakasa kwamba walijitahidi kwenye maandalizi kadri wawezavyo. Hiyo mechi kwetu sisi ni Do or Die
Ebwana heee!! Awajama wanapenda sifa bwana kama mnavyojuwa timu yao ya taifa imeishafuzu kwa point 13 kiasi kwamba ata tukishinda au lesotho kushinda atuwezi isogelea kileleni ata kidogo.

Ajabu sasa timu imeweka kambi misri nakama haitoshi wamecheza na mechi ya kirafiki yani utafikili wanakwenda kucheza mechi ya ufunguzi world cup.

Leo sasa nikiwa mpakani mtukula jamaa wamekodi basi nne za friends full bendera ya taifa full vuvuzela eti wanakuja dar kushangilia timu.Sasa najiuliza hii mijamaa inamalengo gani na sisi mpaka watufanyie hivi? au labda kunasehemu tuliwakwaza tukawaombe samahani ata kesho kabla ya mechi?.
 
Kuna jamaa hapa anataka kupigwa na raia kisa anasema kwa sauti kubwa "KESHO TAIFA STARS INAPOKEA KICHAPO TU HAMNA JINSI"

wananchi wenye hasira nikiwemo na mimi tumeshika bakora kumchalaza bahati yake jamaa wa patrol wamemuokoa.

NB.
Picha nimeshindwa kupiga maana sikuwa na simu karibu.
 
Hakika ni kwamba, watafungwa, sasa wanajitakasa kwamba walijitahidi kwenye maandalizi kadri wawezavyo. Hiyo mechi kwetu sisi ni Do or Die
Naiwe hvyo mkuu ila fanya basi kuanza saving ili mwezi wa tisa uwe mbashara misri.
 
Sasa najiuliza hii mijamaa inamalengo gani na sisi mpaka watufanyie hivi? au labda kunasehemu tuliwakwaza tukawaombe samahani ata kesho kabla ya mechi?.


Inferiority complex
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kuna jamaa hapa anataka kupigwa na raia kisa anasema kwa sauti kubwa "KESHO TAIFA STARS INAPOKEA KICHAPO TU HAMNA JINSI"

wananchi wenye hasira nikiwemo na mimi tumeshika bakora kumchalaza bahati yake jamaa wa patrol wamemuokoa.

NB.
Picha nimeshindwa kupiga maana sikuwa na simu karibu.
Ata kuwa ni mganda anayesoma tanzania sio bule.
 
Kuna jamaa hapa anataka kupigwa na raia kisa anasema kwa sauti kubwa "KESHO TAIFA STARS INAPOKEA KICHAPO TU HAMNA JINSI"

wananchi wenye hasira nikiwemo na mimi tumeshika bakora kumchalaza bahati yake jamaa wa patrol wamemuokoa.

NB.
Picha nimeshindwa kupiga maana sikuwa na simu karibu.
Kadanganye watoto wa chekechea na hizo stori zako ukimaliza kanye kaoge kalale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna ambao nimewaona hapa Bukoba wana kata tiketi kuja kushangilia timu yao nawapa onyo tukifungwa wapitie Nairobi wasipite Bukoba
 
kuna ambao nimewaona hapa Bukoba wana kata tiketi kuja kushangilia timu yao nawapa onyo tukifungwa wapitie Nairobi wasipite Bukoba
Hivi kwann wanafunyia hv? Kwa mfano wana nn chakupoteza? Ata kama nikutokomoa ndo wakodi na mabasi kwenda kushangilia timu yao wakati wameisha fuzu?
 
Tukaujaze uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la uwanja kujaa ilo sina wasiwasi nalo nadhani itabidi waweke na screen kubwa za kutosha nje naao waganda waliokuja na mabasi kutoka uganda mpira watauangalizia kwenye screen akuna kuingia uwanjani pumbavu zao.
 
Back
Top Bottom