Nimeusikia mchana huu utafiti huu kuwa katika nchi tatu zilizoasisi east africa community yaani Tanzania,Kenya,na Uganda,ni kuwa Waganda ndo wanaongoza kwa kukutana kimwili mara nyingi zaidi kwa mwaka ukilinganisha na nchi hizi mbili nyingine,ikifuatiwa na Tanzania halafu Kenya ndo ya mwisho!!!!
Sidhani kama huo utafiti ni wa kweli mi naona wanaongoza hata bila kufanya utafiti ni Kenya wao hufanya wakati wote 24 hrs bana tena kwenye bustni mchana kweupe mfano pale Mulilo GardenNimeusikia mchana huu utafiti huu kuwa katika nchi tatu zilizoasisi east africa community yaani Tanzania,Kenya,na Uganda,ni kuwa Waganda ndo wanaongoza kwa kukutana kimwili mara nyingi zaidi kwa mwaka ukilinganisha na nchi hizi mbili nyingine,ikifuatiwa na Tanzania halafu Kenya ndo ya mwisho!!!!
Wakaka wa Uganda wajitolee kuokoa jahazi wajameni..Maskini Wakenya,....nimejiskia huruma sana.
Wakaka wa Uganda wajitolee kuokoa jahazi wajameni
Yah! Good reaserch, ukweli hata physical appiarance ukicheki Wakenya ni wabaya ukilinganisha na Tz na Ug.Nimeusikia mchana huu utafiti huu kuwa katika nchi tatu zilizoasisi east africa community yaani Tanzania,Kenya,na Uganda,ni kuwa Waganda ndo wanaongoza kwa kukutana kimwili mara nyingi zaidi kwa mwaka ukilinganisha na nchi hizi mbili nyingine,ikifuatiwa na Tanzania halafu Kenya ndo ya mwisho!!!!