Waganda kiboko!!!!.....

Waganda kiboko!!!!.....

Hapa si bishi, Waganda na Wabongo hio ndo kazi. endeleeni hivyo hivyo aise, wacha sie tunywe pombe mpaka kusimama iwe shida
 
Mi nilidhani tutaongoza kwani hata maofisini tu wavivu kiasi fulani...................sasaaa.......dah!.........wapi tu wachakarikaji?
 
Back
Top Bottom