Waganda wamechoka, wameingia barabarani, walikua wanatucheka enzi zetu za mapambano, haya wapambane

Waganda wamechoka, wameingia barabarani, walikua wanatucheka enzi zetu za mapambano, haya wapambane

Naweza kusema Kenya bado sana kujipongeza, hadi zipite chaguzi kama tatu au nne hivi. Nasema hivyo kwa sababu, msingi wa vurugu za kisiasa Kenya ni Ukabila. Ni kweli kuna hatua fulani chanya mmepiga, lakini tatizo la ukabila bado lipo na lina nafasi ya kusababisha machafuko hasa kipindi cha uchaguzi wa Rais. Kama huamini haya maoni yangu tusubiri 2022 especially kama Raila hatagombea na kushinda.

Ndio maana nimesema tulioishi enzi zile, tukilinganisha na leo, tumepiga hatua pakubwa sana na nchi leo hii ni bora mara 100 ya ilivyokua, enzi hizo tulikua kwenye kiza kama ilivyo Tanzania na majirani wengine leo, rais alikua ndiye kila kitu, chochote alichokisema kilisujudiwa, aliimbiwa misifa, wananchi waliishi kwa uwoga, yaani usikike unamsema vibaya inakula kwako.

Tulifikia hatua tukachoka, tukaamua kuboresha nchi, tukachezea virungu, wenzetu wengi waliaga dunia, wengine wakalemazwa, baadhi yetu tuna makovu ila tukaishia kuvuna matunda mazuri.
Nakiri hatujafika, na hamna taifa dunia lililofika, ni mapambano ya kila siku.

Suala la ukabila hayo ni maamuzi ya watu kibinafsi, hawajalazimishwa na yeyote au serikali, mtu anaamua apige kura kwa kuzingatia ukabila, huo ni uhuru wake, kimsingi amepewa uhuru wa maamuzi, halazimishwi. Lakini kwenu huko tuliona kipindi cha uchaguzi, rais anatolea mikwara kwa Kisukuma kwamba mtu wake asipochaguliwa, basi hao wa huko wasubiri kitakachowakuta, nchi yote mumelazimishwa mapambio ya CCM, hamna uhuru, kwenu huko hata ni vigumu kuelewa tatizo lenu nini haswa, maana mna uchama, ukanda, chembe chembe za ukabila, udini n.k. ikiwemo pia hata ubaguzi dhidi ya zeruzeru, kuna wakati huwa mnaingiwa na mzuka wa kuwachinja.
 
Ndio maana nimesema tulioishi enzi zile, tukilinganisha na leo, tumepiga hatua pakubwa sana na nchi leo hii ni bora mara 100 ya ilivyokua, enzi hizo tulikua kwenye kiza kama ilivyo Tanzania na majirani wengine leo, rais alikua ndiye kila kitu, chochote alichokisema kilisujudiwa, aliimbiwa misifa, wananchi waliishi kwa uwoga, yaani usikike unamsema vibaya inakula kwako.

Tulifikia hatua tukachoka, tukaamua kuboresha nchi, tukachezea virungu, wenzetu wengi waliaga dunia, wengine wakalemazwa, baadhi yetu tuna makovu ila tukaishia kuvuna matunda mazuri.
Nakiri hatujafika, na hamna taifa dunia lililofika, ni mapambano ya kila siku.

Suala la ukabila hayo ni maamuzi ya watu kibinafsi, hawajalazimishwa na yeyote au serikali, mtu anaamua apige kura kwa kuzingatia ukabila, huo ni uhuru wake, kimsingi amepewa uhuru wa maamuzi, halazimishwi. Lakini kwenu huko tuliona kipindi cha uchaguzi, rais anatolea mikwara kwa Kisukuma kwamba mtu wake asipochaguliwa, basi hao wa huko wasubiri kitakachowakuta, nchi yote mumelazimishwa mapambio ya CCM, hamna uhuru, kwenu huko hata ni vigumu kuelewa tatizo lenu nini haswa, maana mna uchama, ukanda, chembe chembe za ukabila, udini n.k. ikiwemo pia hata ubaguzi dhidi ya zeruzeru, kuna wakati huwa mnaingiwa na mzuka wa kuwachinja.
Tanzania hatujawai kua kama enzi zenu za Moi hizo roho zenu nyeusi mnazo kitambo huku hatujawahi fikia hizo level kabisa
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ndio maana nimesema tulioishi enzi zile, tukilinganisha na leo, tumepiga hatua pakubwa sana na nchi leo hii ni bora mara 100 ya ilivyokua, enzi hizo tulikua kwenye kiza kama ilivyo Tanzania na majirani wengine leo, rais alikua ndiye kila kitu, chochote alichokisema kilisujudiwa, aliimbiwa misifa, wananchi waliishi kwa uwoga, yaani usikike unamsema vibaya inakula kwako.

Tulifikia hatua tukachoka, tukaamua kuboresha nchi, tukachezea virungu, wenzetu wengi waliaga dunia, wengine wakalemazwa, baadhi yetu tuna makovu ila tukaishia kuvuna matunda mazuri.
Nakiri hatujafika, na hamna taifa dunia lililofika, ni mapambano ya kila siku.

Suala la ukabila hayo ni maamuzi ya watu kibinafsi, hawajalazimishwa na yeyote au serikali, mtu anaamua apige kura kwa kuzingatia ukabila, huo ni uhuru wake, kimsingi amepewa uhuru wa maamuzi, halazimishwi. Lakini kwenu huko tuliona kipindi cha uchaguzi, rais anatolea mikwara kwa Kisukuma kwamba mtu wake asipochaguliwa, basi hao wa huko wasubiri kitakachowakuta, nchi yote mumelazimishwa mapambio ya CCM, hamna uhuru, kwenu huko hata ni vigumu kuelewa tatizo lenu nini haswa, maana mna uchama, ukanda, chembe chembe za ukabila, udini n.k. ikiwemo pia hata ubaguzi dhidi ya zeruzeru, kuna wakati huwa mnaingiwa na mzuka wa kuwachinja.

Hahaaa, naona unajitahidi kuunga unga na kuokoteza vihoja ili kulazimisha fikra zako zikubalike. Lakini ukweli unaujua hata ukijaribu kuukwepa. Umezungumzia election violence huko Uganda. Ukasema Kenya imeshapita huko. Nikakuambia hapana, jipeni muda -- ukabila ndio tatizo la msingi kwenye siasa za Kenya -- kama hutaki kukubali acha tuone yajayo 2022. Mungu akipenda tukiwepo tutaona ukomavu wenu. Tanzania imevuka salama, nchi ni shwari kabisa kama kawaida yetu.
 
Hahaaa, naona unajitahidi kuunga unga na kuokoteza vihoja ili kulazimisha fikra zako zikubalike. Lakini ukweli unaujua hata ukijaribu kuukwepa. Umezungumzia post election violence huko Uganda. Ukasema Kenya imeshapita huko. Nikakuambia hapana, jipeni muda -- ukabila ndio tatizo la msingi kwenye siasa za Kenya -- kama hutaki kukubali acha tuone yajayo 2022. Mungu akipenda tukiwepo tutaona ukomavu wenu. Tanzania imevuka salama, nchi ni shwari kabisa kama kawaida yetu.

Jifunze kusoma na kuelewa hoja, hamna sehemu nimeongea kuhusu "post election violence" Uganda, au unatumia maneno hata bila kujua maana yake. Itakubidi uboreshe upeo wako wa uelewa ili kujadili hoja kama hizi.
 
Jifunze kusoma na kuelewa hoja, hamna sehemu nimeongea kuhusu "post election violence" Uganda, au unatumia maneno hata bila kujua maana yake. Itakubidi uboreshe upeo wako wa uelewa ili kujadili hoja kama hizi.
Mzee naona unakula za uso,
Wazee wa bbi na wheelbarrow madness,
Uchaguzi 2022 kampeni zimeanza tangu 2018,
Kila uchaguzi lazima polisi waue si chini ya raia 100 kwa risasi za Moto
Nchi ya Kizandiki sana Kenya.
 
Huyo Bobi labda ndiyo Mpinzani hapa kwetu kuna Bobi wanna be tundu anaishi Ulaya anakuja siku ya Kampeni na tiketi ya kurudia halafu anawaambia Watanzania waingie barabarani, Watanzania siyo wajinga hivyo, waache hao Wakenya na Waganda wapigane risasi ili kufika waendapo sisi tumechagua nja nyingine.
Baada ya Lisu kupiga spana za kutosha, wakaona wajibu kwa AK-47. Baada ya uchafuzi wa uchaguzi, ameamua kwenda kukaba kwenye kiungo cha juu kule misaada inapotokea.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hii habar ni fake mk 254 ,ajaitaja tz [emoji2][emoji2]Mungu kweli ana maajabu
 
M7 ana chake tena pale uganda. Akafuge ng'ombe zake tu kijijini
 
Sema mabadiliko mliyopigania bado hayajazaa matunda, maana wanasiasa na polisi wanawaendesha kweli. Majuzi tu kipindi cha Corona imepamba moto, mmepigwa virungu na wengine kuuawa.
 
Waganda wamefikia kikomo, uvumilivu umewazidi, wamechoka udhalimu na manyanyaso, wameingia barabarani na kuandamana na kama ilivyo kawaida ya polisi wa Kiafrika, wamejibu kwa risasi na mabomu ya machozi, mpaka sasa raia saba wameuawa na wengine 45 kujeruhiwa.

Nafahamu fika wanachopitia wenzetu maana binafsi nilihusika kwenye mapambano ya kuleta mabadiliko kwetu hapa Kenya, tulichezea virungu, risasi na mabomu lakini tukakomaa, majirani wote walituona wajinga, ila leo tunajivunia uhuru na ukuaji wa kiuchumi zinazokwenda sambamba, maana lazima ziwepo zote ili haki kwenye nchi itamalaki.

Ni kweli hatujafika tulikokusudia, ila kwa walioishi enzi zile tukilinganisha na ilivyo leo, kuna tofauti kubwa sana na kwa kweli tulivuna tulichofukia au kupanda. Nawatakia kila la kheri Waganda, komaeni tu huko na kwa namna fulani Museveni na wapambe wake watachoka na kuhema na kukubali maridhiano na uboreshwaji wa mifumo ya kiutawala na dola, halkadhalika hata katiba.

---------------------------------

Seven people died and at least 45 were injured in protests that erupted after police arrested Ugandan presidential candidate and pop star Bobi Wine on Wednesday, Ugandan police said.

“As of yesterday evening we had seven people who lost their lives, about 45 people got injuries including an LDU [armed civilian force] whose head was smashed,” police spokesperson Fred Enanga said.

Mr Enanga claimed the National Unity Platform (NUP) led by Wine, who is also a lawmaker, violated election guidelines issued to contain the spread of Covid-19 .

The MP is currently detained at in Jinja following his arrest in Luuka where he had gone to campaign on Wednesday.

“But it (NUP) doesn’t have control over these demonstrators. They don’t have the ability to restore a situation that has gone out of hand and yet they’re promoting violence. This is unacceptable,” Mr Enanga told state-owned Uganda Broadcasting Corporation (UBC) on Thursday morning.

Wine was arrested alongside Jinja-based pastor Andrew Muwanguzi and five other supporters. They are currently being interrogated on charges of negligent conduct likely to spread the infectious disease, obstruction and holding unauthorised assembles.

Police said they had also recorded other crimes of looting, vandalism and robbery by other criminals taking advantage of the violent demonstrations.

Uganda Red Cross said Wednesday evening that their response team had rescued over 30 people from the riots and referred them to different health facilities

Wine was most recently arrested on November 3 moments after registering his candidacy for the January 14 2021 presidential election, over accusations he was planning an illegal rally.

Wine, nicknamed the "Ghetto President", has faced escalating police harassment since announcing his intention to challenge Museveni, who seized power at the head of a rebel army in 1986.

His catchy pop songs about social justice, poverty and corruption have shaken the ruling party and its ageing patriarch Museveni, who at 76 is the only president most Ugandans have ever known.

Mbona mnapiga tena kura kubadilisha hiyo katiba?
 
Mbona mnapiga tena kura kubadilisha hiyo katiba?

Kwa sababu uhuru huo tunao, uthubutu tunao, uwezo wa kutumia ubongo tunao, uwezo wa kukubali kutokubaliana tunao......
Katiba mpya ambayo tunayo ni bora kuliko zote ukanda huu maana iliandikwa upya na wazawa wazalendo, ila kama nyaraka zoyote zingine zilizoandikwa na binadamu, inayo kasoro na hamna siku tuliafikia kwamba haitokuja ibadilishwe na kuboreshwa zaidi, kimsingi ni kuhakikisha kila badiliko humo linakubaliwa na Wakenya wote kwa maslahi ya Wakenya.

Nyie huko mumeganda na kile mlichoachiwa na mkoloni, mlijaribu kubadilisha mkaangukia pua, imesababisha uchaguzi unafanyika kwenu mithili ya usanii mtupu, mnasindika na kufuta upinzani na haikuishia hapo mkaanza kuwasaka kama nguruwe pori, wengine wamekimbilia kuja Kenya, wengine Ulaya, wengine wameuawa huko au kulemazwa hadi mabeberu wameanza wameng'aka, mkae msubiri kibano chao, wameanza kufukua namna mliwapiga hela yao ya corona.
 
Waganda wamefikia kikomo, uvumilivu umewazidi, wamechoka udhalimu na manyanyaso, wameingia barabarani na kuandamana na kama ilivyo kawaida ya polisi wa Kiafrika, wamejibu kwa risasi na mabomu ya machozi, mpaka sasa raia saba wameuawa na wengine 45 kujeruhiwa.

Nafahamu fika wanachopitia wenzetu maana binafsi nilihusika kwenye mapambano ya kuleta mabadiliko kwetu hapa Kenya, tulichezea virungu, risasi na mabomu lakini tukakomaa, majirani wote walituona wajinga, ila leo tunajivunia uhuru na ukuaji wa kiuchumi zinazokwenda sambamba, maana lazima ziwepo zote ili haki kwenye nchi itamalaki.

Ni kweli hatujafika tulikokusudia, ila kwa walioishi enzi zile tukilinganisha na ilivyo leo, kuna tofauti kubwa sana na kwa kweli tulivuna tulichofukia au kupanda. Nawatakia kila la kheri Waganda, komaeni tu huko na kwa namna fulani Museveni na wapambe wake watachoka na kuhema na kukubali maridhiano na uboreshwaji wa mifumo ya kiutawala na dola, halkadhalika hata katiba.

---------------------------------

Seven people died and at least 45 were injured in protests that erupted after police arrested Ugandan presidential candidate and pop star Bobi Wine on Wednesday, Ugandan police said.

“As of yesterday evening we had seven people who lost their lives, about 45 people got injuries including an LDU [armed civilian force] whose head was smashed,” police spokesperson Fred Enanga said.

Mr Enanga claimed the National Unity Platform (NUP) led by Wine, who is also a lawmaker, violated election guidelines issued to contain the spread of Covid-19 .

The MP is currently detained at in Jinja following his arrest in Luuka where he had gone to campaign on Wednesday.

“But it (NUP) doesn’t have control over these demonstrators. They don’t have the ability to restore a situation that has gone out of hand and yet they’re promoting violence. This is unacceptable,” Mr Enanga told state-owned Uganda Broadcasting Corporation (UBC) on Thursday morning.

Wine was arrested alongside Jinja-based pastor Andrew Muwanguzi and five other supporters. They are currently being interrogated on charges of negligent conduct likely to spread the infectious disease, obstruction and holding unauthorised assembles.

Police said they had also recorded other crimes of looting, vandalism and robbery by other criminals taking advantage of the violent demonstrations.

Uganda Red Cross said Wednesday evening that their response team had rescued over 30 people from the riots and referred them to different health facilities

Wine was most recently arrested on November 3 moments after registering his candidacy for the January 14 2021 presidential election, over accusations he was planning an illegal rally.

Wine, nicknamed the "Ghetto President", has faced escalating police harassment since announcing his intention to challenge Museveni, who seized power at the head of a rebel army in 1986.

His catchy pop songs about social justice, poverty and corruption have shaken the ruling party and its ageing patriarch Museveni, who at 76 is the only president most Ugandans have ever known.

Usiwafananishe Wakenya wanaojitambua na wasio waoga na Watz waliokuzwa katika mazingira ya woga...mbaya zaidi Serikali na Dola nayo inawanyanyasa wananchi

Wakenya katika kudai haki yao wapo very active nakumbuka migomo ya watumishi wa umma huko yaani Madaktari na Waalimu kudai nyongeza ya mishahara
 
Hujielewi watanzania night watu tunaojielewa kuliko nchi yoyote afrika mashariki. Ndo maana hatuandamani Kwa sababu tunajua magufuli ameshinda kihalali na ni rais mzuri na ni mtu sahihi.
hahaahahah watanzania wanajielewa tangu lini? acha kuchekesha mkuu
 
Back
Top Bottom