#COVID19 Waganda wanavyoteseka na lockdown. Mh Museveni ingilia kati mtakufa waganda

#COVID19 Waganda wanavyoteseka na lockdown. Mh Museveni ingilia kati mtakufa waganda

Hivi yule wa Kariakoo alikua lockdown.?
Huku mbona tunawabeba wagonjwa kwenye machela,baiskeli ,will barrow nk
Hadi maiti tunapokezana begani kutoka mortuary hadi nyumbani kwa marehemu fedha ya kukodi usafiri hamna.
 
Back
Top Bottom