Waganda wanawafinya madereva wa kikenya kisawasawa

Waganda wanawafinya madereva wa kikenya kisawasawa

Hapana, hatuwezi kutulia wakati kuna baadhi ya Jirani anazibuliwa chemba na Jirani mwenzetu, hii ni kinyume kabisa na mkataba wa EAC, hasa kwasababu wanaozibuana ni wanachama waanzilishi wa EAC, wangezibuliwa wanyarwanda au warundi, kidogo isingekua tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda huyo Mkenya alikuwa anaimba ule wimbo wao unaosema " ..nikikupea utaweza..."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, hatuwezi kutulia wakati kuna baadhi ya Jirani anazibuliwa chemba na Jirani mwenzetu, hii ni kinyume kabisa na mkataba wa EAC, hasa kwasababu wanaozibuana ni wanachama waanzilishi wa EAC, wangezibuliwa wanyarwanda au warundi, kidogo isingekua tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom