permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Huenda huyo Mkenya alikuwa anaimba ule wimbo wao unaosema " ..nikikupea utaweza..."Hapana, hatuwezi kutulia wakati kuna baadhi ya Jirani anazibuliwa chemba na Jirani mwenzetu, hii ni kinyume kabisa na mkataba wa EAC, hasa kwasababu wanaozibuana ni wanachama waanzilishi wa EAC, wangezibuliwa wanyarwanda au warundi, kidogo isingekua tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe MwanaLumumba unalilialia nini.First mind ua own sad poor life
Na wewe nenda ukalilie ndugu zako uko Zambia wanabaguliwa
Hapana, hatuwezi kutulia wakati kuna baadhi ya Jirani anazibuliwa chemba na Jirani mwenzetu, hii ni kinyume kabisa na mkataba wa EAC, hasa kwasababu wanaozibuana ni wanachama waanzilishi wa EAC, wangezibuliwa wanyarwanda au warundi, kidogo isingekua tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kalilie Magufuli basi
Huenda huyo Mkenya alikuwa anaimba ule wimbo wao unaosema " ..nikikupea utaweza..."
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni jukwaa la Kenya sasa unataka wachangiaji wataje ufipa au?Hivi Maccm msipoitaja Kenya Ina maana hamtalipwa.
Zamu yenu.Wakenya wanapewa dawa yao huko Malaba. Kumbe ni wasambazaji wazuri wa virusi vya corona kwa jirani.
Wewe unasema hivyo kama nani?Nenda kwa jukwaa la Tanzania ama unaogopa ukweli kutoka kwa watanzania wenzio
Mgeni huyo, kajiunga Jana JF, bado ana jazba za Kibera.Wewe unasema hivyo kama nani?
Wewe mkenya kwenda zako huko.Hatutaki kusambaziwa ujinga katika jukwaa la Kenya.Toka sana na uo ugonjwa wako